Facebook

Monday 1 February 2016

Bayern Munich yamsajili Serdar Tasci kutoka Spartak Moscow

Klabu ya Bayern Munich imemsajili Serdar Tasci kutoka klabu ya Spartak Moscow inayoshiriki ligi Kuu nchini Urusi kwa mkopo uliogharimu €2.5m kukiwa na kipengele cha kumnunua jumla kwa €10m.

-Bantu Sources

0 comments:

Post a Comment