Facebook

Tuesday 2 February 2016

Manchester United,Arsenal zatuma ofa kwa Mshambuliaji wa PSG.

Vilabu vya Arsenal na Manchester United vyote vinashiriki ligi kuu nchini Uingereza vimeripotiwa kuangalia uwezekano wa kumsajili Mshambuliaji hatari Edison Cavan ambaye hana furaha katika klabu ya PSG ya nchini Ufaransa.

Mshambuliaji huyo ambaye anapendelea zaidi kucheza nafasi ya ushambuliaji hana furaha katika klabu ya PSG kutokana na kuchezeshwa sehemu ambayo haifurahi,Cavani anapatikana kwa £55m endelea kutembelea www.bantuz.com na kwa taarifa za usajili kwa wakati na muda muafaka like na tembelea page yetu facebook :--> http://www.facebook.com/bantuzfanspage

0 comments:

Post a Comment