Tyga alionekana na mtoto wake Cairo mwenye miaka miwili,bila ya mama yake Black Chyna.Siku mbili kabla walionekana pamoja wakicheka na kufurahi katika event ya Los Angeles Mission.
Saturday, 29 November 2014
TAZAMA TYGA ALIVYOSHEREKEA THANKSGIVING DAY JANA
Ni kama miezi minne imepita tangu zilipotokea tetesi za kuwa Tyga anatoka na Kylie Jenner aliye na miaka 16,mdogo wake Kim Kardashian West.Tyga alimualika Kylie katika sherehe ya Thanksgiving Day ambapo Kylie hakuwa na wasiwasi wowote alipoonekana akipiga story na Chris Brown na marafiki wengine.
Tyga alionekana na mtoto wake Cairo mwenye miaka miwili,bila ya mama yake Black Chyna.Siku mbili kabla walionekana pamoja wakicheka na kufurahi katika event ya Los Angeles Mission.
Tyga alionekana na mtoto wake Cairo mwenye miaka miwili,bila ya mama yake Black Chyna.Siku mbili kabla walionekana pamoja wakicheka na kufurahi katika event ya Los Angeles Mission.
Related Posts:
Afya ya Muhammad Ali yazidi kuimarika. Msemaji wa nguli wa zamani wa masumbwi Muhammad Ali amedai kuwa hali ya bondia huyo inaendelea vyema toka alazwe hospitalini hapo kwa maradhi ya maambukizi katika mapafu. Msemaji Bob Gunnell amesema madaktari wanao… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO DESEMBA 24 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa ka… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO DESEMBA 25 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa… Read More
Mwanamume ajibandika urembo kufanana na Kim Kardashian. Sura huonekana katika baadhi ya majarida maarufu duniani, ana kipindi chake maalum kuhusu maisha yake na familia yake, ana kampuni ya vipodozi na pia ana mamilioni ya dola kwenye akauti zake za benki. Si mwingine bal… Read More
Huyu ndiye mchezaji anayeichukia sikukuu Chrismass Wachezaji wengi wa soka barani ulaya wamekuwa mstari wa mbele kuwatakia mashabiki wao heri ya sikukuu ya krismasi katika kipindi hiki ambacho kila mmoja amekuwa katika mzuka wa sikukuu hii . Wayne Rooney hakubaki nyuma… Read More
0 comments:
Post a Comment