Monday, 21 April 2014
Maaskofu watoa msimamo wao kuhusu katiba..............fuatilia hapa....................
Katika salama za pasaka viongozi wa dini wa katoliki 32 wamesema maoni ya wananchi katika rasimu ndio msingi wa katiba hivyo wamewataka wajumbe wa bunge la katiba wa yaheshimu kama yalivyo wasilishwa na jaji warioba bungeni,wamesema wajumbe wa tume waheshimiwe kwakua taasisi zote,mtu mmoja mmoja na makundi mbali mbali ya kijamii yalipata nafasi kupeleka maoni yao mbele ya tume ya warioba,hivyo wanapashwa kuheshimu rasimu hiyo iliyo beba maoni ya wananchi hakuna haja ya wakuidharau tume iliyo undwa na watu makini na wanao heshimika katika taifa letu
Endelea kutembelea katemimethsela.blospot.com kupata taarifa mbalimbali kuhusiana na mchakato wa katiba mpya
Related Posts:
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA KURASA ZA MAGAZETI YOTE YA LEO JUMAMOSI APRIL 11 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa k… Read More
Haya ni Matukio 10 makuu baada ya mauaji GarissaFamilia za wanafunzi 142 kati ya watu 148 waliouawa katika shambulizi la kundi la wapiganaji wa Kiislamu Al Shabaab katika chuo kikuu cha Garissa wameruhusiwa kuchukua miili ya wapendwa wao. Familia zimeanza harakati za safar… Read More
AJALI YA BASI:ABIRIA 2 TU WAPONYEKA WENGINE WAPOTEZA MAISHA KWA MOTO BAADA YA BASI HILO KUUNGUA MOTOHabari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Basi la Nganga linalofanya safari mkamba,/kidatu kwenda mbeya limepata ajari mbaya sana baada ya kugongana na lori. Katika ajali hiyo wamepona watu wawili tu wengine wote … Read More
BantuTz MAGAZETINI:SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA KURASA ZA MAGAZETI YOTE YA LEO JUMAPILI,APRIL 12 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa k… Read More
BantuTz MAGAZETINI:SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO JUMATATU,APRIL 13 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa ka… Read More
0 comments:
Post a Comment