Friday, 25 April 2014
Taarifa rasmi kuhusu albamu mpya ya Michael Jackson.....................................
Ikiwa Imepita kama Mwezi mmoja toka taarifa kuwa kuna album ya Mpya ya Michael Jackson inaandaliwa itakayoitwa Xscape, Kwa sasa imetolewa taarifa rasmi kwamba album hiyo ipo tayari na itaachiwa Mei 13, 2014
Album hiyo imetengenezwa na Producer na Mwanamuziki Mkubwa Timberland akishirikiana na Rodney Jerkins.
Habari inasema Album hiyo itakuwa na Nyimbo Nane...Love never felt so Good, Chicago, Loving you , A place with no Name, Slave to the Rythm, Do you know where your Children are , Blue Gangstar na Xscape.....
Kaaa Tayari
Related Posts:
CHIDI BENZ AVAA MLEGEZO KIZIMBANI. Rapper Chidi benz aliypandishwa kizimbani siku ya jumanne kwa shtaka la kukamatwa na madawa ya kulevya... Amepandishwa tena kizimbani leo ambapo alirudishwa nje na Jaji akavae vizuri suruali aliyokuwa ameiweka mleg… Read More
Taarifa kamili kuhusu Chid Benz kukamatwa na madawa ya kulevya uwanja wa NdegeKuna taarifa zilitoka BantuTz.com leo jioni kuhusu msanii wa muziki wa kizazi kipya Chidi Benz kukamatwa na dawa za kulevya katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam akiwa anaelekea Mbeya kwenye show… Read More
Beyonce aongoza kwa kipato. Akiingiza zaidi ya dola milioni 115, Beyonce amekuwa mwanamke anayelipwa zaidi katika muziki mwaka huu. Alikuwa na "mwaka wenye mafanikio zaidi", akifanya maonesho 95 na kuingiza wastani wa dola milioni 2.4 katika ki… Read More
Baraza la Sanaa (BASATA) kumvua taji miss Tanzania 2014 kwa udanganyifu juu ya umri wake Sakata la lililojitokeza la mrembo wa Taifa wa mwaka huu 'Redd's Miss Tanzania 2014', Sitti Mtemvu kudaiwa kudanganya umri, limeingia katika sura mpya baada ya Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) kueleza kuwa litamvua taji hil… Read More
Muigizaji Mzee Manento amefariki dunia Habari zilizotufukia hivi punde zinasema kuwa muigizaji Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Bado tunafuatilia kwa karibu habari hizi nz chanzo ch kifo cha mzee wetu huyu. Mzee Mnento atakumbukwa hasa kwa fil… Read More
0 comments:
Post a Comment