Friday, 25 April 2014
Taarifa rasmi kuhusu albamu mpya ya Michael Jackson.....................................
Ikiwa Imepita kama Mwezi mmoja toka taarifa kuwa kuna album ya Mpya ya Michael Jackson inaandaliwa itakayoitwa Xscape, Kwa sasa imetolewa taarifa rasmi kwamba album hiyo ipo tayari na itaachiwa Mei 13, 2014
Album hiyo imetengenezwa na Producer na Mwanamuziki Mkubwa Timberland akishirikiana na Rodney Jerkins.
Habari inasema Album hiyo itakuwa na Nyimbo Nane...Love never felt so Good, Chicago, Loving you , A place with no Name, Slave to the Rythm, Do you know where your Children are , Blue Gangstar na Xscape.....
Kaaa Tayari
Related Posts:
Kujichubua ngozi ni tatizo kwa mastaa wetu...angalia hapa baadhi...... Unaweza kuamini ukiambiwa kuwa, umaarufu hapa Bongo unakuja na rangi yake ya kipekee, hata kwa watu wanaochipukia na kutamani kuwa maarufu siku moja, wanaamini kuwa, ili kufanikiwa ni lazima kwanza uwe na rangi nye… Read More
Agness Masogange awachana wanaotumia jina lake kwenye social network...................... Mrembo Agness amefunguka kwa mara nyingine tena na kulalamikia wadau wanaofungua account fake kwenye social networks na kutapeli watu kwa kutumia jina lake. Mrembo huyo amepost picha na ujumbe huo hapa juu ku… Read More
Koffi Olomide afanya show ya kufa mtu Uganda............ Imedhihirika kuwa Mwanamuziki mweye asili ya Kongo Antoine Christophe Agbepa Mumba, maarufu kama Koffi Olomide hajachuja hata kidogo licha ya ukimya wake wa miaka mingi baada ya Mashabiki kubaki wakitaka zaidi katika … Read More
Rose Ndauka kuolewa hivi karibuni........... MSANII maarufu wa sinema za Kibongo, Rose Ndauka amesema kuwa watu wasiwe na wasiwasi kwani kwa mipango ya Mungu atafunga ndoa na mzazi mwenzake Maliki Bandawe hivi karibuni. “Si muda mrefu mambo yatakuwa mazuri t… Read More
Unamjua Mtanzania aliyekamatwa akifanya mapenzi hadharani huko London..... Imefahamika kwamba Shilla msichana wa kibongo aliyeko Rumande huko London/UK kwa makosa ya kufanya mapenzi in the public kumbe ni By-Sexual yaani ni msichana anayependa kufanya mapenzi na wanawake wenziwe … Read More
0 comments:
Post a Comment