Sunday, 20 April 2014
Kumbe ile meli iliyosadikika kuzama Ziwa Zictoria haikuzama,bali shehena ilipakuliwa na kuuzwa kenya kisha kuzamishwa................soma hapa...................
Ile meli iliyotangazwa imezama katika ziwa Victoria na tani 280 ya sukari siyo kweli. haikuzama ila umefanyika wizi na mmiliki wa meli hiyo Kitana Chacha wa Mwanza ambaye ikiwa njiani zilikuja boti kadha kutoka Kenya na sukari ikapakuliwa na kuingizwa kwenye hizo boti, na baada ya hapo meli ikazamishwa kwa kutobolewa chini ingawa haikuzama yote.
Inafaa vyombo husika vichunguze issue hii kwa kina na huyo Kitana na wafanyakazi wale wa meli wahojiwe kueleza ukweli.
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata habari mbalimbali za kina na zilizojificha
Related Posts:
RAIS KIKWETE ATEMBELEA MAENEO YALIYOATHIRIKA NA MAFURIKO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete ameliagiza Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ, kujenga daraja la muda linalounganisha wakazi wa mbagala kuu na kunduchi ambalo lilikatika kutoka na mvua. Rais Kikw… Read More
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika magazeti yote ya leo Jumatano,Mei 20. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kup… Read More
Hali ni tete Chuo Kikuu Dar Es Salaam,Masomo yahairishwa,Wanafunzi waandamana wakidai fedha za kujikimu.Hapo jana BantuTZ.com tuliripoti kuhusiana na mgomo wa wanafunzi wa Chuo Kikuu hapo jama usiku kwa wale wanaoishi 'Mabibo Hostel'. Lakini muda huu mgomo huo umehamia katika eneo la Chuo Kikuu Cha DSM. Matamko ya viongozi wa S… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-Soma kilichoandikwa katika kurasa za Magazeti mbalimbali ya leo Jumamosi,Mei 16. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata hab… Read More
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika magazeti mabalimbali ya leo Jumatano,Mei 13 2015. BantuTz MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata … Read More
0 comments:
Post a Comment