
Magufuli akihutubia Wananchi katika moja ya milutano ya kampeni ya chama hicho. Picha na Maktaba
Karatu/Zanzibar. Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli jana aliwahutubia mamia ya wakazi wa Karatu na kummwagia sifa aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo hilo na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kuwa...