Facebook

Tuesday, 6 October 2015

Facebook kuanzisha Satellite yao.

Kampuni ya Facebook imetangaza kuwa itaanzisha mtandao wa satelite ili kutoa huduma za internet kwenye maeneo yaliyo mashambani barani Afrika.
Kwa ushirikiano na kampuni ya Eutelsat, iliyo Ufaransa, Facebook wanatumainia kuwa mtambo wa kwanza wa satelite utakuwa tayari kuzinduliwa mwaka ujao.

Baadhi ya mataifa, kama India yanapinga hatua hiyo ya Facebook, ambayo wanadai inahujumu kampuni ndogo zinazotoa huduma za simu katika mataifa yanayoendelea.

Related Posts:

  • Watu 10 wauawa katika mlipuko Nigeria   Ripoti kutoka kaskazini mwa Nigeria zinasema kuwa watu kadhaa wameuawa na mlipuko wa bomu karibu na mashine ya kutoa pesa ya ATM. Walioshuhdia walisema kuwa ,mwanamume mmoja alikaribia watu waliokuwa wamepanga fol… Read More
  • Obama aahidi kushirikiana na Republican   Kiongozi mpya wa Baraza la Senate la Marekani kutoka chama cha Republican na Rais Barack Obama wote wameahidi kumaliza mvutano wa kisiasa ambao umewavunja moyo wapiga kura wa Marekani. Wanachama wa Republican wa… Read More
  • Je,wajua kuna waombolezaji wa kulipwa ?   Kila Alhamisi na Ijumaa, shughuli katika mji wa Kisumu, magharibi mwa Kenya, huvurugika kwa sababu mamia ya waendesha pikipiki huzuia barabara kutokana na kukodiwa kuomboleza msiba kwa malipo. Kelele za saut… Read More
  • Wanajeshi wa Libya wafukuzwa Uingereza.   Wanajeshi kutoka nchini Libya wamerejeshwa nchini kwao kutokana na kukosa uadilifu wakiwa mafunzoni Uingereza huku wengine wakituhumiwa kufanya vitendo vya ukatili wa kimapenzi. Wanajeshi hao waliokuwa mafunzoni n… Read More
  • Rais masikini zaidi duniani apewa dola milioni 1Rais wa Uruguay Jose Mujika anasema kuwa amepewa dola millioni 1 ili kuuza gari lake aina ya Volkswagen. Bwana Mujica ,aliyejulikana kama rais masikini duniani kutokana na maisha yake ,alisema kuwa ombi hilo lilitoka kwa kion… Read More

0 comments:

Post a Comment