Bomu lililotegwa ndani ya gari limelipuka na kuwauwa zaidi ya watu sitini nchini Iraq,katika jimbo la Mashariki la Diyala.bomu hilo lililenga mtaa wa kibishara ambapo zaidi ya watu arobaini walifariki huku pia zaidi ya hamsini kujeruhiwa.
Shambulio jingine lilitokea katika mji wa kusini mwa Basra,ambao kwa mara nyingi haukuwahi kukumbwa na milipuko nchini humo.Maofisa mjini humo wanasema bomu hilo lilitegwa katika mtaa wa al Zubair liliwauwa watu kumi.
Kundi la kiislam la IS limethibitisha kuhusika katika mashambulizi hayo.Katika mji wa Baghdad polisi wamesema kuwa bomu lililotegwa ndani ya gari liliwauwa watu kumi na tatu katika kitongoji cha Husseiniya.
Tuesday, 6 October 2015
Watu zaidi ya 60 wauawa kwa Bomu Iraq
Related Posts:
Urusi matatani kuhusu kuanguka kwa ndege Mabaki ya ndege ya Malaysia Airline Mataifa ya magharibi yametoa wito kwa Urusi kuyashinikiza makundi ya wapiganaji wanaounga mkono Urusi mashariki mwa Ukraine kuhakikisha kuwa watu wanalifikia eneo la mkasa wa nde… Read More
Walinzi 20 wa mpakani wauawa Misri Wanajeshi wa Misri Maafisa nchini Misri wanasema kuwa takriban walinzi 20 wa mpakani wameuawa katika shambulizi la kizuizi kimoja cha ukaguzi magharibi mwa taifa hilo,karibu na mpaka na Libya. … Read More
Wafanyakazi waruhusiwa kuuchapa usingizi Kazini huko Korea Kusini. Serikali ya jiji, mjini Seoul, Korea Kusini, imeripotiwa kuruhusu wafanyakazi kulala mchana kazini ili kuongeza ufanisi, hasa katika miezi ya majira ya joto. Kuanzia Agosti 1, wafanyakazi wa serikali ya jiji la Seo… Read More
Ajira kwa watoto ruksa Bolivia. Bolivia imeteremsha umri halali wa kufanya kazi ili kuruhusu watoto kufanya kazi kuanzia umri wa miaka 10 kwa masharti kuwa lazima waendelee kwenda shule na wawe wamejiajiri. Sheria hiyo pia inaruhusu watoto we… Read More
Waasi watuhumiwa "Kuharibu uushahidi" baada ya kuanguka ndege ya Malaysia Ukraine imetuhumu waasi wanaoiunga mkono Urusi kwa kujaribu kuharibu ushahidi wa "uhalifu wa kimataifa" katika eneo ndege ya Malaysia ilipoanguka. Serikali imesema waasi wakiongozwa na Urusi wanazuia wawakikis… Read More
0 comments:
Post a Comment