Facebook

Saturday 14 November 2015

Maalim Seif atangaza kutoshiriki Uchaguzi utakaorudiwa Zanzibar.

Mgombea Urais kwa tiketi ya CUF Zanzibar Maalim Seif amesisitiza tena kuwa yeye na chama chake hawatoshiriki kwenye zoezi la kurudia Uchaguzi Visiwani Zanzibar kama ilivyotangazwa na ZEC

Ameyasema hayo Jijini Dar baada ya kikao na vyama vinavyounda UKAWA kukutana Jijini Dar es Salaam jana, pamoja na aliyekuwa mgombea Urais Edward Lowassa.

0 comments:

Post a Comment