Facebook

Tuesday 17 November 2015

Utaangalia mechi ya Marudiano Kufuzu fainali za kombe la dunia :Algeria vs Tanzania kupitia BantuTv LIVESTREAMING.


BantuTv LIVE STREAMING:ALGERIA vs TANZANIA 21:15 USIKU.
 
Baada ya Timu ya taifa ya Tanzania katika michuano ya kufuzu kucheza fainali za la dunia kutoka sare ya Goli 2-2 dhidi ya timu ya taifa ya 
Algeria katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar Es Salaam.

Timu hizo zitacheza mchezo wa marudiano huko Algeria majira ya saa 3:15 Usiku kwa majira ya saa za Afrika Mashariki.

Mechi hiyo Kwa taarifa tulizozipata Bantuz.com itarushwa kupitia ZBC 2 kwa wenye KING'AMUZI CHA AZAM NI CHANNEL NAMBA 116, na vilevile kama patatokea matatizo yoyote katika kituo hicho unaweza kuungana na BantuTv kupitia BantuTv 
LIVESTREAMING.kwa kubofya link Hapo juu na kushuhudia  mtanange huu moja kwa moja kupitia simu yako ya mkononi, tablet au
Computer yako.

0 comments:

Post a Comment