Facebook

Saturday 14 November 2015

Hizi ndizo Channel zitakazorusha moja kwa moja mechi Tanzania vs Algeria.

Hii ni mechi ya kwanza ya mzunguko wa pili kufuzu kuelekea Kombe la Dunia 2018.Ni mechi muhimu kwa timu ya taifa ya Tanzania maana itakuwa nyumbani uwanja mkuu wa Taifa.Katika michezo mitano ya mwisho timu ya Tanzania imeshinda mchezo mmoja pekee, huku ikitoka sare michezo miwili na kufungwa miwili.

Algeria wao katika michezo mitano ya mwisho wamepoteza mchezo mmoja tu na kushinda mingine minne iliyobakia.Hadi sasa Tanzania na Algeria zimeshakutana mara 7, huku mara 3 Algeria ikishinda, mara 1 Tanzania ikishinda na mara 3 ikiwa ni sare.

Kupitia uzi huu tuungane pamoja kushuhudia kile kitakachojiri siku ya mchezo.TANZANIA - ALGERIA16:30Waamuzi: Keita Mahamadou, Diarra Bala, Niare Drissa Kamory

TV Listing :ZBC 2, TBC1, Bein Sports 1HD(Bein US)

Kikosi TZ: 
Ally Mustapha, Shomari Kapombe, Mwinyi Mngwali, Kevin Yondani, Nadir Haroub, Himidi Mao, Mudathir Yahya, Mrisho Ngassa, Farid, Mbwana Samatta, Thomas Ulimwengu

0 comments:

Post a Comment