Facebook

Thursday 12 November 2015

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya apiga marufuku matumizi ya simu za mkononi wakati wa kazi

Mkuu wa mkoa wa Mbeya amepiga marufuku matumizi ya simu za mkononi wakati wa kazi mkoani Mbeya ili watumishi wa serikali na mashirika ya umma wahudumie jamii kwa wakati. 

Asisitizia marufuku mtandao wa WhatsApp, ataka watumishi wa Umma na Serikali wahudumie jamii kwa wakati zaidi.

0 comments:

Post a Comment