Facebook

Saturday 17 January 2015

Babu Tale aelezea juu uvujaji wa wimbo mpya wa Diamond


    At Mwalimu Nyerere Airport with my manager,Babu tale

Ule Ugonjwa wa kuvuja kwa single za wasanii ambazo muda wake haujafika juzi imemkuta Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz, wimbo huo uliopewa jina la Nasema Nawe umesambaa wiki hii kwenye baadhi ya mitandao ikiwemo blogs pamoja na mitandao ya kijami. 
 
 Babu Tle ameshangaa  baaada ya kusikia kuwa Diamond ametoa wimbo mpya aliourekodi kwa producer Tuddy Thomas.
‘Ni Kweli wimbo umevuja ila sio official yenu sisi hatuwezi kuchukua uamuzi wowote ila tutaufanyia mastering na tuta u realese kama official na wala hatuwezi kumlaumu producer Tuddy Thomas’– alisema Babu Tale.

0 comments:

Post a Comment