Facebook

Saturday 31 January 2015

Kanye west:"Mimi ni baba bora kwasababu ya Kim Kardashian na mwanangu North West


kanye-on-having-more-kids-710x400-2 
 
Mkali wa rap nchini marekani na baba wa familia Kanye West,aliyasema hayo katika kipindi cha The Ellen Degeneres show ambapo kanye alifunguka ukweli kuhusu yeye na maisha yake paoja na familia yake.
Alikuwa akihojiwa juu ya video yake mpya iitwayo "Only One" ambapo kwenye nyimbo hiyo amezungumzia maisha na familia yake akimtaja mkewe Kim Kardashian pamoja na mwanae North West.

On marriage and family changing him: “I have always someone to think about going home to: something not only to be brave for what I want to do for humanity, but also to be more protective of myself for my family.”
On having a bigger family: “We’re trying,” he said. “I just want whatever Kim wants.”

0 comments:

Post a Comment