Facebook

Saturday 31 January 2015

Diamond Platnumz,Davido na Wizkid wamaliza tofauti zao.

 
Wakali hawa wanaofanya vizuri kwenye ramani ya muziki Africa na kimataifa kwa ujumla hatimae bifu lao limeisha.
Uthibitisho huo wa bifu la wakali hawa watatu limeisha mara baada ya Diamond platnumzna Wiz kid ku-post kwenye page zao za instagram nyimbo mpya ya Davido aliyo mshirikisha Uhuru na Dj bucks.
Diamond nae ali-post katika account yake kwa kuaonesha kum-ssuport Davido kwa nyimbo yake mpya.
 
Hiyo ina thibitisha kuwa bifu baina yao wote limeisha.

0 comments:

Post a Comment