Facebook

Saturday 31 January 2015

Sister wa kanisa kubwa duniani ajifungua mtoto wa kiume nchini Italy

http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/nun_635x250_1390217286.jpg
Sister mmoja huko nchin Italia amejifungua mtoto wa kiume mara baada ya kulalamika kwa muda mrefu kwamba anasumbuliwa na tumbo ndipo kuwaishwa hospitalini na kujifungua mtoto licha ya kuwa alikua anaishi jumuia ya wanawake watupu katika kanisa katoliki Italia.
 
Sister huyo mwenye umri wa miaka 31 anaetokea kikundi cha masister cha Santa Chiara mwenye asiri ya Amerika ya kusini alifikishwa hospitalini hapo na baada ya muda alizimia ndipo madaktari walipoa amua kumpeleka labour na akajifungua.
 tIL9B3Y-360
WAtu wengi wanajiuliza amewezaje kupataujauzito huo ikiwa alikula kiapo cha usafi na utii wa kiroho.kwa lengo la kulitumikia kanisa hilo.
Tukio hili linataka kufanana na tukio la mwaka jana ambapo sister Salvador alipata mimba na kujifungua mtoto wa kiume na kumuita jina la Papa Francis.

0 comments:

Post a Comment