Facebook

Tuesday 13 January 2015

Mcheza Boxing ADRIAN BRONER aomba msamaha kwa JAY Z na RIHANNA

Nyota wa mchezo wa Boxing ADRIAN BORNER ameripoti katika mtandao wa TIMZ.com kuwa anasikitika sana kwa kitendo alichofanya cha kumkashifu rapper JAY Z na RIHANNA siku za nyuma hivyo hana budi kuomba msamaha.Aliongea na mtandao wa TMZhollywood sport alisema............ 
."I'm a man at the end of the day,"I'm wrong and i can admit when I'm wrong."
BORNE amesema ameongea na mtu wake wa karibu THE BIG HOMMIE kuwa kwa sasa yupo tayari kuomba msamaha wawili hao RIHANNA na JAY Z ili waweke mambo sawa.




0 comments:

Post a Comment