Facebook

Sunday, 25 January 2015

Chelsea,Man city,Southampton na Totenham nje kombe la F.A

 

Vilevile kilabu ya daraja la kwanza Bradford City ilionyesha mchezo wa hali ya juu ilipotoka nyuma 2-0 na kuweza kuwashinda viongozi wa ligi ya Uingereza Chelsea 4-2 katika mechi ya FA ilioijaa mbwembwe za aina aina.
Katika uwanja wa Totenham bao la Jeffrey Schlupp lilisaidia Leicester kuishinda Totenham.
Leicester ilikuwa nyuma kwa bao moja kabla ya kusawazisha na kuongeza la ushindi.

 Uwanjani Southampton Mshambuliaji Marouane Chamakh alifunga mabao mawili na kuisaidia kilabu ya Crystal palace kupata ushindi wa 3-2 dhidi ya Southampton katika mechi iliokuwa na mchezo mzuri.

Matokeo ya FA
Cardiff 1 - 2 Reading FT
Chelsea 2 - 4 Bradford FT
Derby 2 - 0 Chesterfield FT
Man City 0 - 2 Middlesbrough FT
Preston 1 - 1 Sheff Utd FT
Southampton 2 - 3 Crystal Palace FT
Sunderland 0 - 0 Fulham FT
Tottenham 1 - 2 Leicester FT

Related Posts:

  • HAYA NDO MAPYA YALIYOBUKA OLD TRAFORD KUHUSU ROJO Mlinzi Marcos Rojo aliyesajiliwa Manchester United kutoka Sporting Lisbon ya Ureno anakabiliwa na shauri la jinai kwao Argentina, na ndilo linamzuia kuanza kuchezea timu yake mpya. Hadi Jumapili hii asubuhi alikuwa hajapatiw… Read More
  • Tambwe afungua akaunti ya magoli.Mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita, Khamisi Tambwe ameanza kuonyesha makali baada ya kupiga bao mbili katika mechi ya jana usiku Simba ilipoiadhibu KMKM ya Zanzibar kwa mabao 5-0. Tambwe raia wa Burundi alipiga bao… Read More
  • Wenger apanda ndege kuelekea Roma,Italy Arsene Wenger ameonekana akipanda ndege kutoka London kwenda Rome, Italy. Meneja huyo amekubali kuwa meneja wa timu itakayocheza mechi maalum ya amani, katika mchezo wa soka wa unaojumuisha imani mbalimbali ulioandaliwa na P… Read More
  • Baada ya "Magumashi" Evodius Mtawala aachia ngazi TFF Mkurugenzi wa wa Vyama na Masuala ya Kisheria katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Evodius Mtawala, amelazimika kuachia ngazi kutokana na sababu mbalimbali. Taarifa ambazo tumezipata, zinaeleza kuwa Mtawala ambaye aliwah… Read More
  • Gerrard akabidhiwa jukumu la "kumfunda" Balloteli.Gerrard amepewa jukumu la kumuongoza kimaadili Mario Balotelli kiwanjani na suala la ndani ya klabu litakua juu ya Brendan Rodgers huku Balotelli mwenyewe akiambiwa ajiangalie nje ya klabu kimatendo na kimaadili, kutokufanya … Read More

0 comments:

Post a Comment