Facebook

Saturday 31 January 2015

Mazishi ya baba wa Peter na Paul -P square yanafanyika leo


 
Wasanii waakubwa ambao ni mapachaPeter na Paul maarufu kama P-square kutoka Nigeria  wanataraji kumzika baba yao mzazi  Pa Mosses Okoye leo aliefariki november mwaka jana.
 
Mazishi hayo ambayo yatafanyika ki mila pia yameweza ku make headlines kutokana na kucheleweshwa kuzikwa kwa baba yao huyo.
Mazishi yatafanyika nyumbani kwao Lfite duru Anambra state huko huko nchini Nigeria

0 comments:

Post a Comment