Facebook

  • Tutorial 1

    This is Trial

  • Tutorial 2

    This is slide 2 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

  • Tutorial 3

    This is slide 3 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

Thursday, 30 October 2014

Mfahamu Rais wa kwanza mzungu ndani ya Bara la Afrika tangu kuisha ubaguzi wa rangi.

Guy Scott ambaye alikuwa makamu wa rais Zambia wakati wa utawala wa Michael Sata ametajwa kushika nafasi ya urais wa nchi hiyo kwa sasa mpaka pale ambapo ataapishwa mara baada ya kufanyika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo. Waziri wa ulinzi Zambia Edgar Lungu amesema maandalizi ya uchaguzi huo yataanza...

Chelsea yapeta Capital One Cup.

Didier Drogba ameipa ushindi Chelsea wa mabao 2-1 dhidi ya Shrewsbury. Mchezo huo wa kombe la ligi marufu kama capital one, umechezwa usiku wa kuamkia leo. Timu kadhaa zilijitupa uwanjani ili kutafuta nafasi ya kuingia robo fainali yaligi hiyo katika ligi hiyo. Mario Balotelli ametia chachu katika...

Manchester City yatolewa Capital One

Mechi za kombe la ligi ya CAPITALA ONE CUP zimeendelea usiku wa kuamkia leo viwanjani. Manchester City ikicheza nyumbani ilijikuta ikiwaduwaza mashabiki wake baada ya kukubali kichapo cha mabao 2 bila majibu kutoka kwa Newcastle utd na kutupwa nje kabisa ya mashindano hayo. Nayo Tottenham hotspurs...

RAIS WA ZAMBIA AFARIKI DUNIA

  Serikali ya Zambia imesema Rais wa nchi hiyo Michael Sata amefariki dunia wakati akiendelea kupatiwa matibabu kwa maradhi ambayo hayakutajwa. Rais Sata, 77, alifariki katika hospitali ya King Edward VII jijini London, Uingereza Jumanne usiku. Vyombo vya habari vimesema alifariki baada ya...

Muigizaji Mzee Manento amefariki dunia

Habari zilizotufukia hivi punde zinasema kuwa muigizaji Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Bado tunafuatilia kwa karibu habari hizi nz chanzo ch kifo cha mzee wetu huyu. Mzee Mnento atakumbukwa hasa kwa filamu alizocheza kiumakin na marehemu Kanumba. Hero of the church, Dar to lagos,fake...

CHIDI BENZ AVAA MLEGEZO KIZIMBANI.

  Rapper Chidi benz aliypandishwa kizimbani siku ya jumanne kwa shtaka la kukamatwa na madawa ya kulevya... Amepandishwa tena kizimbani leo ambapo alirudishwa nje na Jaji akavae vizuri suruali aliyokuwa ameiweka mlegezo na kurudishwa tena rumande hadi novemba 11 atakapopandishwa tena kizimbani....

Saturday, 25 October 2014

WANAFUNZI WAADABISHWA KIJESHI KWA KOSA LA KUFANYA FUJO NA KUCHOMA SHULE YAO.

Kamishna wa Elimu nchini ameifunga kwa mwezi mmoja shule ya sekondari Njombe (NJOSS) baada ya wanafunzi wa shule hiyo kufanya fujo na kuchoma moto shule yao pamoja na shule ya msingi iliyojirani ya shule yao. Chanzo cha vurugu hizo ni kitendo cha Bodi ya Shule hiyo kuwasimamisha shule wanafunzi wenzao...

Diego Costa hatihati.

Diego Costa huenda akacheza katika mechi ya Ligi Kuu ya England dhidi ya Manchester United licha ya kuugua na kulazimika kupelekwa hospitali. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Spain, 26, amekuwa akipata nafuu akiwa nyumbani na kutakiwa kufanya mazoezi peke yake kutokana na ugonjwa huo. Hata hivyo kwa...

VAN GAAL :MOURINHO AMEJIJENGA MWENYEWE

Meneja wa Manchester United Louis van Gaal amesisitiza kuwa hajafanya lolote kubwa kusababisha Jose Mourinho kuwa moja ya makocha wenye mafanikio duniani. Mourinho, ambaye ni meneja wa Chelsea kwa sasa, alifanya kazi chini ya Van Gaal akiwa Barcelona, na huwa anasema Van Gaal na Bobby Robson ndio wamempa...

Friday, 24 October 2014

Taarifa kamili kuhusu Chid Benz kukamatwa na madawa ya kulevya uwanja wa Ndege

Kuna taarifa zilitoka BantuTz.com leo jioni kuhusu msanii wa muziki wa kizazi kipya Chidi Benz kukamatwa na dawa za kulevya katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam akiwa anaelekea Mbeya kwenye show ya Instagram Party ambayo inatarajiwa kufanyika kesho. BantuTz.com iliahidi...

Thursday, 23 October 2014

Baraza la Sanaa (BASATA) kumvua taji miss Tanzania 2014 kwa udanganyifu juu ya umri wake

Sakata la lililojitokeza la mrembo wa Taifa wa mwaka huu 'Redd's Miss Tanzania 2014', Sitti Mtemvu kudaiwa kudanganya umri, limeingia katika sura mpya baada ya Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) kueleza kuwa litamvua taji hilo endapo itabainika kweli alichakachua umri wake. Katibu Mkuu wa Basata, Geoffrey Mwingereza,...

Tuesday, 21 October 2014

Manchester United yabanwa mbavu Ligi Kuu Uingereza.

  Ligi kuu ya England imeendelea jana usiku ambapo Manchester United ilijikuta ikibanwa mbavu na kushindwa kufurukuta ugenini kwa West Bromwich Albion na kutoka sare ya mabao 2-2 licha kwamba ilitawala mchezo huo. Mchezo huo wa pekee kwa ratiba ya ligi hiyo ulishuhudiwa Man United...

Oscar Pistorius jela Miaka 5

  Pistorius alipatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake bila kukusudia Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp. Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana...

Msanii Y.P wa kundi la TMK Wanaume Family afariki dunia.

MENEJA wa kundi la TMK Wanaume Family aliye pia mkurugenzi wa MKubwa na Wanae, Said Fella 'Mkubwa' amethibitisha kuwa msanii YP amefariki dunia usiku wa kumakia leo. Akizungumza na BantuTz  hivi punde kwa njia ya simu, Fella alisema YP amefariki akiwa katika Hospitali ya Temeke na siyo nyumbani...

Wednesday, 15 October 2014

Uthibitisho kuhusu nyimbo mpya ya Ali Kiba 'aliyomchana' Diamond

  Baada ya kutokuwepo kwa maelewano huku vyombo mbalimbali vya habari nchini vikiripoti bifu/ugomvi unaoendelea kati ya nyota wawili wanaotamba katika mziki wa bongo fleva nchini;Diamond na Ali Kiba.Leo hii BantuTz imekuchambulia kwa undani zaidi nyimbo iliyotolewa hivi karibuni ya Ali Kiba-Mwana...

Tuesday, 14 October 2014

Makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad Zanzibar,aipinga Rasimu ya Katiba

  Songombingo la Rasimu ya katiba bbado linaendelea Zanzibar,baada ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kufukuzwa kazi na Rais wa Zanzibar,Mohamed Shein hivi sasa Makamu wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad naye ameipinga rsimu hiyo. Makamu wa Kwanza wa Rais Maalim...

"SIKU YA WANAFIKI KUMDHIHAKI BABA WA TAIFA Mwl J.K NYERERE"

Leo ni siku ya wanafiki kumdhihaki Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere,ni siku ya wanafiki kuwadhihaki watanzania.Njia pekee ya Kumuenzi Mwalimu ni kuyaishi matendo yale mema aliyolitendea taifa hili. Leo mafisadi ndio wanaotunga na kuandika sheria mama ya nchi(Katiba) na kupuuza maoni ya wananchi.Haitakubalika...

Monday, 13 October 2014

"Nyuma Ya Pazia" kuzama kwa Meli ya Titanic-Sehemu-Full Article

  "Kama ilivyo 'punje' moja ya mchanga katika fukwe za bahari kuu za dunia, ndivyo ulivyo ufahamu wetu mdogo mbele ya mambo mbalimbali makubwa na mengi tusiyoyajua duniani na mbele ya yale tunayodhani kuwa tunayajua".  Jambo la kweli kuhusu uhalisi umekuwa ukifichwa mno kwani ukweli una...

Majeruhi wazidi kuongezeka Arsenal.

  Kwa sasa tuna wachezaji kumi wa kikosi cha kwanza wapo nje kwa majeruhi. Katika mchezo wa jana wa timu ya taifa Uingereza kufuzu Euro 2016 Danny Welbeck alitonesha enka yake na kutolewa nje dakika 10 kabla ya mpira kumalizika na moja kwa moja alielekea katika chumba cha kubadilishia ngua...

Essien akana kuugua Ugonjwa wa Ebola

  Baada ya kuripotiwa kuugua ugonjwa wa EBOLA - hatimaye kiungo wa kimataifa wa Ghana Micheal Essien amejitokeza na kusema yeye ni mzima wa afya - hajaathirika na ugonjwa h...

Tanzania yaifumua Benin 4-1

Taifa Stars imeitungua Benin kwa mabao 4-1 katika mechi ya kitarafiki ya kimataifa iliyochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao ya Stars yalifungwa na wachezaji wake wawili wanaokipiga nchini na wawili wanaocheza nje ya Tanzania. Nadir Ali Harob ‘Cannavaro’ wa Yanga ndiye alianza...

Linex akana shutuma za uvutaji wa Bangi.

  Kupitia ukuarasa wake wa facaebook,Sunday Mjeda aliandika hiki Kwa mala ya kwanza Leo nimegoma kujibu swali ambalo nimekua nikiulizwa Sana na vyombo vya habari ma swali lenyewe nikuhusi Mimi kujihusisha na matumizi ya uvutaji Bangi Leo nawabia watanzania na wasio watanzania Mimi sijawahi...

Sunday, 12 October 2014

Nyuma Ya Pazia Kuzama kwa Meli Ya Titanic-Sehemu Ya Pili

Naam matajiri wote walishaingia ndani ya Meli wakiongozwa na John Jacob Astor ambaye kama nilivyosema hapo awali huyu ndiye alikuwa bilionea namba 1 duniani kwa wakati huo, Hakuna yeyote aliyejua kwamba Meli hii ya kifahari ilikuwa inageuzwa kaburi lao muda mfupi ujao, Harufu ya damu ilinukia...

Friday, 10 October 2014

MAJINA YA MIKOPO VYUO VIKUU KWA WANAOINGIA MWAKA WA KWANZA

Majina ya wanafanzi wa Vyuo vikuu waliopata mikopo kutoka Bodi ya Mikopo Kwa Elimu ya Juu yametoka leo hii. BantuTz imekurahisishia ingia hapa.......MAJINA YA MIK...

Basher Othman-Kiongozi mwenye Umri Mdogo zaidi Duniani.

  Akiwa na umri wa miaka 16 tu, amefanikiwa kuingia katika serikali ya Palestina akiwa kama Waziri wa Utawala wa Ndani. Binti huyu aliezaliwa mwaka 1998 aliweza kuliongoza jimbo lake la Allar kama Meya kwa kipindi cha miezi 3 kabla hajateuliwa kuwa Waziri. Je huyu ni nani? Anaitwa Bashaer Othman,...

Mechi mbalimbali zitakazochezwa leo hii.

LEO IJUMAA MECHI ZA KUFUZU EURO 2016 9:45 PM - Latvia vs Iceland 9:45 PM - Netherlands vs Kazakhstan 9:45 PM - Turkey vs Czech Republic 9:45 PM - Belgium vs Andorra 9:45 PM - Cyprus vs Israel 9:45 PM - Wales vs Bosnia-Herzegovina 9:45 PM - Bulgaria vs Croatia 9:45 PM - Italy vs Azerbaijan 9:45 PM -...

MATOKEO YA MECHI ZA KUFUZU EURO 2016

Group C Slovakia (Kucka '17, Stoch '87) 2-1 Spain (Alcacer 83) Belarus 0-2 Ukraine (Martynovich '82 og, Sydorchuk '90) Macedonia (Trajkovski '20, Jahovic '66,Abdurahimi '90) 3-2 Luxembourg (Bensi '39, Turpel '44) Group E England 5-0 San Marino (Jagielka '25, Rooney '43 pen,78, Webeck '49, Townsend '72) Lithuania...

MANCHESTER UNITED WAPO TAYARI KUMLIPA TYLER BLACKETT £ 50,000 KWA WIKI

-Uongozi wa Manchester United umetangaza rasmi kwamba wapo katika hatua ya mwisho ya kuuboresha mkataba wa beki kinda mwenye umri wa miaka 20,Tyler Blackett ili aendelee kuwepo kikosini hapo baada ya kuonekana bora na kocha Van Gaal. Tyler Blackett atasaini mkataba ambao atakuwa anapokea kiasi cha £ 50,000...

Thursday, 9 October 2014

Daley Blind "Siko tayari kulinganishwa na Roy Keane"

  Blind alisema ameyazoea maisha ya Manchester United kwa muda mfupi,lakini asisitiza kuwa nimapema sana kumlinganisha na Roy Kean, Blind alisema "tusiende mbali sana,maendeleo yangu ni mazuri kwa sasa lakini ndo kwanza tunaanza" "naweza kusema mwanzo wangu ni mzuri. Katika ligi ya England sio...

Ronaldo kuzeekea Real Madrid

  Cristiano Ronaldo hana nia ya kurejea Manchester United na atamalizia kucheza soka yake Real Madrid, amedai wakala wake Jorge Mandes.  Ronaldo, 29, tayari amefunga magoli 15 msimu huu, ikiwemo kufikisha hat trick 22 katika La Liga. Taarifa zimekuwa zikimhusisha Ronaldo kurejea...

John Stones nje hadi 2015

Beki wa Everton na timu ya taifa ya England John Stones huenda asicheze hadi mwakani baada ya kuthibitishwa kuwa anahitaji kufanyiwa upasuaji katika kifundo cha mguu. Stones, 20, aliumia katika mchezo dhidi ya Manchester United siku ya Jumapili na anatarajiwa kutocheza kati ya wiki 10 hadi ...