-Uongozi wa Manchester United umetangaza
rasmi kwamba wapo katika hatua ya mwisho ya
kuuboresha mkataba wa beki kinda mwenye
umri wa miaka 20,Tyler Blackett ili aendelee
kuwepo kikosini hapo baada ya kuonekana bora
na kocha Van Gaal. Tyler Blackett atasaini
mkataba ambao atakuwa anapokea kiasi cha £
50,000 tofauti na awali ambapo alikuwa
anapokea £ 2,000.
Friday, 10 October 2014
MANCHESTER UNITED WAPO TAYARI KUMLIPA TYLER BLACKETT £ 50,000 KWA WIKI
Related Posts:
Southampton yasajili mchezaji mwingine kutoka Afrika MasharikiBaada ya kumsajili Mkenya Victor Wanyama, Southampton FC ya Ligi Kuu ya England (EPL), imesajili mchezaji wa pili kutoka Ukanda wa Afrika Mashariki baada ya kumpa mkataba wa miaka miwili na nusu Mganda Bevis Kristofer Kizi… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 21 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa ka… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 20 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa ka… Read More
Balotelli azua balaa lingine Liverpool Nahodha wa timu ya Liverpool Steven Gerrard amemshutumu mchezaji mwenzake Mario Balotelli kwa kuonyesha utovu wa nidhamu pale alipolazimisha apige mkwaju wa penalti badala ya Jordan Henderson aliyekuwa tayari anak… Read More
KOMBE LA DUNIA 1994 NA KUMBUKUMBU YA ANDRES ESCOBAR Katika uumbaji Mwenyezi Mungu alimpatia kila mwanadamu "UTASHI" yaani uwezo wa kutambua na kujitambua yeye mwenyewe, vilevile ni uwezo wa kutambua jema na baya,kuchambua na kupambanua vitu mbalimbali katika mazingira y… Read More
0 comments:
Post a Comment