Facebook

Thursday, 9 October 2014

John Stones nje hadi 2015



Beki wa Everton na timu ya taifa ya England John Stones huenda asicheze hadi mwakani baada ya kuthibitishwa kuwa anahitaji kufanyiwa upasuaji katika kifundo cha mguu.

Stones, 20, aliumia katika mchezo dhidi ya Manchester United siku ya Jumapili na anatarajiwa kutocheza kati ya wiki 10 hadi 14.

Related Posts:

  • Van Gaal "Wachezaji walikataa kupiga Penati"     Kocha wa Uholanzi Louis van Gaal amesema wachezaji wake wawili walikataa kupiga penati ya kwanza katika mchezo wao wa nusu fainali dhidi ya Argentina katika Kombe la Dunia. Beki Ron Vlaar alijitolea ku… Read More
  • Refa wa fainali za Kombe la Dunia atajwa....!              Nicola Rizzoli amechaguliwa na Fifa kuwa mwamuzi katika mchezo wa fainali - Kombe la Dunia Brazil 2014 kati ya Ujerumani na Argentina.  &n… Read More
  • Mashabiki wa Ghana wazamia Brazil     Zaidi ya mashabiki mia mbili wa soka kutoka Ghana walioingia Brazil kwenda kutazama Kombe la Dunia wameomba hifadhi ya ukimbizi nchini humo.     Polisi wa Brazil katika mji wa Caxias do Sul wa… Read More
  • Robben: ‘Argentina hawana lolote’ Winga  wa kidachi Arjen Robben amekiponda kikosi cha Argentina kwa kiwango duni walichokionesha mpaka sasa kwenye mashindano ya Kombe la Dunia, na kusema kuwa hata ushindi wao walioupata dhidi y… Read More
  • LIVERPOOL NA BARCA WAKUBALIANA JUU YA SUAREZ   Liverpool wamefikia makubaliano ya kumuuza Luis Suarez kwenda Barcelona. Ada ya uhamisho inadhaniwa kuwa takriban pauni milioni 75. Suarez alijiunga na Liverpool mwaka 2011 akitokea Ajax, kwa pauni milioni 22.7. A… Read More

0 comments:

Post a Comment