Facebook

Friday, 3 October 2014

Linex akamatwa na wanajeshi,kisha kavuliwa Nguo.

  Linex


Kitu kama hiki kiliwahi kumtokea mwana-hiphop Young Killer miezi michache iliyopita ambapo alivuliwa nguo ya jeshi aliyokua ameivaa.Wiki kadhaa baadae ikatangazwa tena kwenye vyombo vya habari kwamba ni marufuku kwa watu wasio Wanajeshi kuvaa nguo hizo.
Jana yamemkuta Linex baada ya kukamatwa na wanajeshi akiwa amevaa nguo za Jeshi,hiki ndicho alichokisema baada ya kukamatwa
  ‘Sikutaka kuwa mtata jamaa walikuja wakasema ile ni nguo yao nikaingia kwenye gari iliyokua imenipeleka Airport pale nikavua nikawapa sababu lazima niliheshimu jeshi la nchi yangu‘

nguo za jeshi  
‘nilikua nimevaa kama zinataka kufanana na nguo za jeshi, zinataka kufanana kwa mbali lakini sio nguo ya jeshi‘
"Big up kwa Wanajeshi waliofanya vile labda mimi ndio nilitakiwa kuwa mfano kwa watu wengine wanaozivaa mtaani, kwa ushauri tu ni kwamba Wanajeshi wapite kwenye maduka pia yanayouza nguo zinazofanana na nguo zao wachukue’ – Linex


Related Posts:

  • Huu ndio muonekano mpya wa Rihanna Mwana dada mwenye skendo za kila kukicha ame-post picha ikimuonyesha munekano wake wa nywele na hata sura.   Muonekano huo unatumika katika jarida moja linalohusu muziki na maisha ya watu maarufu kwa ujumla.Ri… Read More
  • Huu ndio muonekano mpya wa Rihanna Mwana dada mwenye skendo za kila kukicha ame-post picha ikimuonyesha munekano wake wa nywele na hata sura.   Muonekano huo unatumika katika jarida moja linalohusu muziki na maisha ya watu maarufu kwa ujumla.Ri… Read More
  • Mazishi ya baba wa Peter na Paul -P square yanafanyika leo   Wasanii waakubwa ambao ni mapachaPeter na Paul maarufu kama P-square kutoka Nigeria  wanataraji kumzika baba yao mzazi  Pa Mosses Okoye leo aliefariki november mwaka jana.   Mazishi hayo a… Read More
  • Hawa ndio washindi wa Tuzo za Grammy 2015 Tuzo za 57 za Grammy zilifanyika ambapo mwanamziki Sam Smith amewagaragaza wengine wote baada ya kuondoka na tuzo nne ikiwemo Record of the Year, Song of the Year, Best New Artist na  Best Pop Vocal Album. Bey… Read More
  • Huu ndio muonekano mpya wa Rihanna Mwana dada mwenye skendo za kila kukicha ame-post picha ikimuonyesha munekano wake wa nywele na hata sura.   Muonekano huo unatumika katika jarida moja linalohusu muziki na maisha ya watu maarufu kwa ujumla.Ri… Read More

0 comments:

Post a Comment