Baada
ya kuripotiwa kuugua ugonjwa wa EBOLA - hatimaye kiungo wa kimataifa wa
Ghana Micheal Essien amejitokeza na kusema yeye ni mzima wa afya -
hajaathirika na ugonjwa huo.
Mwimbaji wa Marekani Ray J matatani....
Mwimbaji wa Marekani Ray J amekamatwa na polisi mjini Beverly Hills kwa
tuhuma za kuzozana katika baa ya hoteli ya Beverly Wilshire. Polisi wa Beverly Hills waliitwa baada ya kutokea malalamiko kuwa msanii huyo alimshi…Read More
Mbunge Zitto Kabwe afiwa na mama mzazi
Bi Shida Salum, mama yake Zitto Kabwe Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, mchana huu amefiwa na mama yake mzazi aliyeugua kwa muda mrefu.
…Read More
0 comments:
Post a Comment