Facebook

Monday 13 October 2014

Essien akana kuugua Ugonjwa wa Ebola

 

Baada ya kuripotiwa kuugua ugonjwa wa EBOLA - hatimaye kiungo wa kimataifa wa Ghana Micheal Essien amejitokeza na kusema yeye ni mzima wa afya - hajaathirika na ugonjwa huo.

0 comments:

Post a Comment