Facebook

Wednesday 25 February 2015

Hilo ndilo basi bovu walilopewa Azam Fc baada ya Kuwasili Sudan.

 

Hili ndilo basi bovu walilopewa timu ya Azam na wenyeji wao mara baada ya kuwasili nchini Sudan alfajiri ya leo.
Azam watacheza na timu ya El-Merreik mwishoni mwa wiki hii katika mchezo wa marudiano katika michuano ya ligi ya Mabingwa barani Afrika.

0 comments:

Post a Comment