Taarifa kutoka Mwanza Airport ni kuwa kuna ndege ya Jeshi imelipuka na kuteketea.
Rubani wa ndege hii, ndg Peter Augustino kafanikiwa kuruka kwa parachuti na kunusurika ingawa inadaiwa kavunjika mguu na kukimbizwa hospitali.
Friday, 27 February 2015
Ndege ya Jeshi yaanguka na kuwaka moto uwanja wa ndege Mwanza, rubani anusurika!
Related Posts:
Unyama!! awachoma watoto wake mikono ! Watoto wanaodaiwa kufanyiwa ukatili wakionyesha vidonda kwenye mikono yao ambavyo vinatokana na kuchomwa moto na baba ya mzazi nyumbani kwao Mbagala Kibondemaji jijini Dar es Salaam jana. Vitendo vya ukatili dhidi yawatoto … Read More
Unyama !! Kijana amkata kichwa Mdogo wake ili apate utajiri huko Morogoro UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Firauni! Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamng’ang’ania mfanyabiashara maarufu wa Wilaya ya Mvomero, Johnson Damian Mkude (39) akituhumiwa kumkata kichwa mdogo wake wa kuzaliwa, Mathi… Read More
Imebainika ni Kweli majina ya waliofaulu ule usaili wa Uhamiaji yalichakachuliwa. Wiki kadhaa zimepita kumekuwa na Habari kuhusu Majina ya Waliofauli Usaili wa Nafasi ya Ukonstebo Pale Uhamiaji ambayo ilisemekana yalikuwa yamechakachuliwa kwani wengi waliopata kazi hiyo walikuwa na undugu na wafanya… Read More
Kisima cha maajabu Dodoma.Maji yake Koo mbili za Wanyazaga na Wambukwa Mnyambwa wakiwa wamekusanyika kukizunguka kisima kinachosemekana kimejaa maajabu cha Bwibwi kilichopo Katika kijiji cha Iyumbu kilichopo pembezoni mwa Chuo kikuu cha Dodoma [UDOM] B… Read More
Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu{HESLB} yahaidi kulipa fedha kwa Wanafunzi wa Vyuo vikuu,Walioomba mikopo nao kushughulikiwa. Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini (HESLB),imesema mwishoni mwa wiki hii, itakuwa imelipa fedha za mafunzo kwa vitendo kwa wanafunzi ambao hawajapata fedha hizo kwa mwaka 2013/14. Mkurugenzi Msaidizi wa Haba… Read More
0 comments:
Post a Comment