Facebook

Sunday 22 February 2015

MO FARAH AVUNJA REKODI 'BIRMINGHAM INDOOR GRAND PRIX'


Mwanariadha raia wa Uingereza mwenye asili ya Somalia Mo Farah ameweka rekodi mpya katika mashindano ya ndani ya Birmingham Grand Prix, ya umbali wa Maili 2 sawa na kilomita 3.22.
Farah mwenye umri wa miaka 31 ametumia dakika 8 na sekunde 3.40 na kuvunja rekodi ya Kenenisa Bekele raia wa Ethiopia ya dakika 8 na Sekunde 4.34.

0 comments:

Post a Comment