Facebook

Sunday, 22 February 2015

MO FARAH AVUNJA REKODI 'BIRMINGHAM INDOOR GRAND PRIX'


Mwanariadha raia wa Uingereza mwenye asili ya Somalia Mo Farah ameweka rekodi mpya katika mashindano ya ndani ya Birmingham Grand Prix, ya umbali wa Maili 2 sawa na kilomita 3.22.
Farah mwenye umri wa miaka 31 ametumia dakika 8 na sekunde 3.40 na kuvunja rekodi ya Kenenisa Bekele raia wa Ethiopia ya dakika 8 na Sekunde 4.34.

Related Posts:

  • Mtanangazaji maarufu CNN "abwaga manyanga"Mtangazaji wa TV Piers Morgan ameacha kazi katika shirika la habari la Marekani la CNN, licha ya kupewa nafasi ya kuongeza mkataba wake. Morgan ame tweet akisema anakwenda "kujaribu mambo mengine mapya" baada ya wakuu wa … Read More
  • Watu maarufu waanikwa mitandaoni Ulaya Idara ya upelelezi ya nchini marekani FBI linachunguza kwa ukaribu madai ya maelfu ya accounts za watu maarufu kutekwa,na kinachotafutwa hasa ni picha za utupu za watu hao maarufu ambazo zimekua zikianikwa mitanda… Read More
  • "GETO" LA BALOTELLI?Mario Balotelli ndio kwanza amerejea England, kwa mara ya pili, lakini inaonekana haijamchukua muda mrefu kugonga vichwa vya habari, safari hii kwa kuonesha "ladha" ya mitindo na mambo anayopenda. Mchezaji huyo wa Liverpool a… Read More
  • Mchekeshaji maarufu aaga duniaMchekeshaji maarufu nchini Marekani Joan Rivers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka themanini na na mmoja. Joan alikuwa amelazwa katika hospitali moja mjini New York kwa wiki kadhaa sasa akisumbuliwa na maradhi ya moyo. Me… Read More
  • JUSTIN BEIBER ASHITAKIWA KWA UENDESHAJI MBAYA WA GARI Ni jumanne nyingine,huku skendo nyingine ya Justin Beiber ikigonga vichwa vya watu mbalimbali. Polisi wa Canada wanasema Justin ameshitakiwa kwa kuendesha gari vibaya pia kutoa lugha chafu. Hii inafuatia baada ya gari lake … Read More

0 comments:

Post a Comment