Facebook

Wednesday, 25 February 2015

UAMUZI WA FA JUU YA KADI NYEKUNDU YA MATIC.

"UAMUZI WA FA JUU YA KADI NYEKUNDU YA MATIC.

Chama cha soka cha nchini Uingereza FA kimeamua kupunguza adhabu inayomkabili kiungo wa Chelsea Nemanja Matic baada ya kuoneshwa kadi nyekundu na mwamuzi Martin Antikson kufuatia kumsukuma mshambuliaji wa Burnley Ashley Barnes kwenye mchezo wa ligi kuu nchini humo wikiendi iliyopita.

Matic alitakiwa kutumikia adhabu ya kuikosa michezo 3 yaani ule wa fainali ya capital one dhudu ya Spurs tarehe 1 march, Westham na SOTON kabla ya kutoa utetezi wake, lakini baada ya Chelsea kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo FA leo kiliamua kumpunguzia adhabu Matic ambapo kwa sasa atakosa michezo 2 na si 3 kama ambavyo ilivyoripotiwa hapo mwanzao.

Ataukosa dhid ya Spurs na Westham. Jambo hili lilionekana halikupokelewa kwa moyo mkunjufu na Chelsea kwasababu walitegemea adhabu hiyo ingepungua zaidi."
Chama cha soka cha nchini Uingereza FA kimeamua kupunguza adhabu inayomkabili kiungo wa Chelsea Nemanja Matic baada ya kuoneshwa kadi nyekundu na mwamuzi Martin Antikson kufuatia kumsukuma mshambuliaji wa Burnley Ashley Barnes kwenye mchezo wa ligi kuu nchini humo wikiendi iliyopita.
Matic alitakiwa kutumikia adhabu ya kuikosa michezo 3 yaani ule wa fainali ya capital one dhudu ya Spurs tarehe 1 march, Westham na SOTON kabla ya kutoa utetezi wake, lakini baada ya Chelsea kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo FA leo kiliamua kumpunguzia adhabu Matic ambapo kwa sasa atakosa michezo 2 na si 3 kama ambavyo ilivyoripotiwa hapo mwanzao.
Ataukosa dhid ya Spurs na Westham. Jambo hili lilionekana halikupokelewa kwa moyo mkunjufu na Chelsea kwasababu walitegemea adhabu hiyo ingepungua zaidi.

Related Posts:

  • Matumaini ya Brazil yako kwa Neymar Pele; Neymar asiachiwe mzigo pekee yake Mchezaji wa kitambo wa Brazil ana wasiwasi kuwa taifa hilo linamshinikiza mshambulizi wa Neymar kuisaidia taifa hilo kunyakua taji la Kombe la Dunia kwa wenyeji hao na huen… Read More
  • Maajabu ya mmiliki wa klabu ya Southampton.. Katharina Liebherr: Jina hili la mama huyu kibonge si maarafu sana katika vichwa na midomo ya wapenda soka duniani hasa bongo,labda ni kwa sababu ya jinsia yake ama ni kutokana na tabia yake ya kujiweka mbali na vyomb… Read More
  • Brazil 3-1 Croatia 00:55 Mechi imekamilika . Brazil 3-1 Croatia . 00:54 Mechi hii imekamilika Brazil ikisajili ushindi mkubwa wa mabao 3-1 dhidi ya Croatia. … Read More
  • Ulaya wataka Blatter ajiuzulu kwa usemi Rais wa Shirikisho la kandanda duniani, FIFA, Sepp Blatter. Maafisa wa kandanda wa Europa sasa wamemtaka rais wa shirikisho la kimataifa… Read More
  • Wadhamini wa kombe la Dunia taabani. Hadhi ya makampuni yanayothamini kombe la Dunia taabani Brazil. Udhamini wa kandanda duniani umekua kwa kiasi kikubwa na sasa unazidi utoaji wa fedha kwa mashirika yanayoisimamia kwa shirika la soka duniani Fifa.Ki… Read More

0 comments:

Post a Comment