Facebook

Wednesday, 25 February 2015

WAKALI 10 KWA KULIPWA MISHARA MINONO LIGI KUU UINGEREZA MSIMU HUU.


Man utd , Chelsea, Manchester City na Arsenal ni vilabu vine pekee vilivyotoa wachezaji walioweka orodha ya wachezaji 10 bora ya kulipwa mishara minono Ligi kuu Uingereza kwa mwaka huu wa 2015.
Man utd imetoa mchezaji wliyeshika namba moja kwenye orodha hiyo nahodha wa timu hiyo muingereza Wayne Rooney anayelipwa kitita cha paundi 300,000 ambazo ni sawa na milioni 780 za kitanzania kwa wiki.
Man utd kwa ujumla imetoa wachezaji 4, Chelsea wachezaji 3, Manchester City 2 huku Arsenal ikitoa mmoja tu.
10 BORA KWA MISHARA.
1Wayne Rooney,Manchester United-Paundi 300,000. (Mil 780 Tshs).
2.Radamel Falcao, Manchester United-paundi 265,000. (Mil 689,000 Tshs)
3. Robin Van Persie, Manchester United-Paundi 250,000.(Mil 650 Tshs).
4.Yaya Toure, Manchester City-Paundi 240,000.(Mil 624,000 Ths)
5.Sergio Aguero, Manchester City-Paundi 225,000.(Mil 585 Tshs)
6. Francesco Fabregas,Chelsea-Paundi 200,000.(Mil 520 Tshs)
7.Angel Di Maria,Manchester United-Paundi 200,000.(Mil 520 Tshs)
8.Eden Hazard,Chelsea-Paundi 185,000.(Mil 481 Tshs)
9.Diego Costa,Chelsea-Paundi 185,000.(Mil 481 Tshs)
10.Mesut Ozil,Arsenal-Paundi 150,000.(Mil 390 Tshs).

KIPI KIMEKUSHTUA?

Related Posts:

  • Nigeria na Iran zatoka sare. Timu ya Iran na Nigeria zilitoka sare ya suluhu bin suluhu , katika mechi yao ya kundi F huko Curitiba, kwenye fainali ya kombe la dunia siku ya Jumatatu. Timu hiyo ya Carlos Queiroz ilioneka… Read More
  • Hispania yaaga kombe la dunia Brazil. Kufuatia ushindi huu wa mabao 2-0 mikononi mwa Chile mabingwa watetezi wa kombe la dunia Uhispania sasa wamehakiki tikiti za ndege kurejea nyumbani pam… Read More
  • Mourinho amuonya Roy Hodgson kuhusu Rooney Kocha Jose Mourinho amekosoa nafasi aliyopangwa Wayne Rooney kwenye mechi ya England na Italia huko Manaus, Brazil. Italia walishinda 2-1. Jose Mourinho ameyavulia nguo maji yasiyo yake kwa kutoa tathmini ya m… Read More
  • Marekani yaifumua Ghana 2-1 Marekani yalipiza kisasi cha kushindwa na Ghana 2-1katika kombe la dunia Bao la kichwa la John Brooks, katika dakika za mwisho za mechi ziliisaidia Marekani kuilaza Ghana kwa mabao mawili kwa moja, katika mchuan… Read More
  • Ujerumani yaifumua Ureno bila huruma, Thomas Mueller ndiye mchezaji wa kwanza kufunga mabao matatu katika mechi moja Brazil Thomas Muller alifunga mabao matatu na kuisaidia Ujerumani kuishinda Ureno mabao manne kwa nunge. Mlinzi wa U… Read More

0 comments:

Post a Comment