Facebook

Thursday, 11 December 2014

Tetesi mbalimbali za usajili barani Ulaya.

 
Arsenal na Liverpool wanachuana na Juventus katika kuwania saini ya beki wa kulia wa Barcelona Martin Montoya, mwenye 23 ambae amekosa namba kwenye kikosi cha barca.
Mshambuliaji Fernando Torres anaweza kurejea katika klabu yake ya Chelsea mwezi januari,Ac Milan wanampango wa kusitisha mkataba wake.

Klabu yaNapol ya itali wanaangalia uwezekano wa kumsajili winga Yannick Bolasie, mwenye miaka 25.Toka klabu ya Crystal Palace.

Timu ya Man United wako tayari kupamba na Real Madrid ili kuweza kupata saini ya kiungo Christoph Kramer anaekipiga na klabu ya Borussia Monchengladbach,.

 Winga wa Chelsea Thorgan Hazard yuko tayari kujiunga na Borussia Monchengladbach kwa mkataba kamili baada ya kufanya vizuri katika msimu wake wa kwanza anakocheza kwa mkopo toka Chelsea.

Related Posts:

  • Ujeruman yapokelewa kwa shangwe.   Maelfu ya mashabiki wa soka nchini Ujerumani wamejitokeza mjini Berlin kuwalaki wachezaji wa timu ya taifa walioshinda Kombe la Dunia. Sherehe kubwa zimefanyika katika eneo la Brandenburg Gate, ambapo wacheza… Read More
  • Adidas watarajia makubwa baada ya kuingia mkataba mnono na Manchester United   1.Klabu; Manchester United Kampuni; Adidas Thamani(mwaka); £75m Miaka 10; £750m 2.Klabu; Real Madrid Kampuni; Adidas Thamani(mwaka); £31m Miaka 8; £248m 3.Klabu; Chelsea Kampuni; Adidas Th… Read More
  • OSCAR "SIJUI CHA KUSEMA" Kiungo mshambuliaji wa Brazil na Chelsea, amesema hajui nini kimewatokea baada ya mfululizo wa matokeo mabaya katika mashindano ya Kombe la Dunia huko nchini kwao. Hata hivyo, alikubali timu yao haikucheza vyema na … Read More
  • ADHABU YA POWELL YAPUNGUZWA    Bingwa wa zamani wa mbio za mita 100 Asafa Powell na Sherone Simpson wote kutoka Jamaica wamepunguziwa adhabu ya kufungiwa, kutoka miezi 18 hadi miezi sita. Uamuzi uliotolewa na mahakama ya usuluhisi wa m… Read More
  • MATOKEO YAZUA VURUGU ARGENTINA   Polisi wa Argentina wamepambana na waandamanaji katika mji mkuu, Buenos Aires baada ya nchi hiyo kufungwa na Ujerumani katika mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia. Mapema jana jioni maelfu ya watu walikusanyika… Read More

0 comments:

Post a Comment