Inawezekana ilishafanyika ila hii ndio mara ya
kwanza naona mchezaji anasajiliwa na kufanyiwa
vipimo hasa kwa timu hizi za kulwa na dotto!
Dan Sserunkuma hapa akifanyiwa vipimo kabla
ya kusaini mkataba!
Wednesday, 3 December 2014
Huyu ndiye mchezaji wa kwanza kufanyiwa vipimo kabla ya kusajiliwa Tanzania.
Related Posts:
Kauli ya Wayne Rooney ikiwa Van Persie akiwa nahodha wa Man United Tangu Nemanja Vidic alipotangaza rasmi kwamba msimu ujao hatokuwepo Old Trafford kulianza tetesi juu ya mchezaji gani atapewa nafasi ya kurithi mikoba ya unahodha ambapo Wayne Rooney mmoja wa wachezaji wakubwa nda… Read More
UCHANBUZI: REAL MADRID v ATLETICO MADRID Leo, ndiyo siku ya hukumu! Katika uwanja wa Estadio da Luiz, jijini, Lisbon, Ureno wakati miamba ya soka nchini Hispania itakapokuwa ikiwania taji la Ligi ya Mabingwa barani Ulaya. Ni fainali ya kwanza baada ya … Read More
Costa arejea mazoezini Atletico Je Kondo la Nyuma ni dawa ? Nyota wa Atletico Madrid Diego Costa amerejea mazoezini leo kujifua tayari kwa fainali ya kombe la m… Read More
Moyes azua balaa,amshuhsia dogo kipigo kisa kizima hiki hapa...... Anachunguzwa: Moyes alikuwepo kwenye baa mjini Clitheroe wakati anatukanwa. KOCHA wa zamani wa Manchester United, David Moyes anahojiwa na polisi kwa tuhuma za kumshambulia kijana… Read More
Suarez:Wauruguay wamtishia Dummett Jeraha la Suarez sasa mashabiki wa Uruguay wamlaumu mlinzi wa Newcastle Paul Dummett. Mlinzi wa Newcastle Paul Dummett ametishiwa maisha yake na masha… Read More
0 comments:
Post a Comment