Waziri wa mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa Mh Benard Membe baada ya kukamilisha masaa 72 ya ziara yake ya kidiplomasia katika nchi nne tofauti barani Afrika na kuhudhuria mahafali katika vyuo vikuu viwili tofauti kama mgeni wa heshima Tanzania.
Tazama picha zake hapa chini za kuanzia juzi hadi leo.
Friday, 5 December 2014
Waziri Membe amaliza rasmi ziara yake ya kidiplomasia
Related Posts:
Kituo cha Makumbusho chaanza kazi rasmi Baadhi ya abiria wakisubiri mabasi katika kituo kipya cha Makumbusho. Katikati kulia ni Afisa Mfawidhi Kanda ya Mashariki Sumatra Coneao Shio kushoto ni Mkuu wa Kituo cha Usalama barabarani Wilaya ya Kinondoni Solomon… Read More
Mwigulu Nchemba: "Nataka niwe Rais ili niwafundishe adabu Watanzania! Leo jioni, mjini Iringa kwenye viwanja vya Mwembetogwa, Mh Mwigulu Nchemba alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara, alisema kuwa Watanzania wana uhuru mkubwa sana wa kuongea mpaka wanakosa adabu hata kwa wazee… Read More
Akodi ngoma kumfumania mkewe akitoa penzi kwa rafiki yake..mtaa wafungwa Na Dustan Shekidele, Morogoro AMA kweli dunia ina mambo na mambo yenyewe ndiyo haya! Katika hali ya kushangaza, mwanaume aliyefahamika kwa jina la Ramadhan Ally, mkazi wa Kata ya Mbuyuni Manispaa ya Morogor… Read More
Yule mtoto aliyefichwa ndani ya boksi kwa miaka 4 afariki dunia MTOTO Nasrah Rashid (4) aliyekuwa akitibiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuugua na kupata ulemavu kwa kufungiwa kwenye boksi miaka minne amefariki dunia. Nasrah alifichwa kwenye boksi na mama … Read More
Hatimaye familia ya mwanafunzi aliyefariki Chuo Kikuu cha DSM yaeleza ukweli kuhusu kifo chake ! Hatimaye familia ya mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, marehemu Happy Sekabenga Pius Mwakimenya (21) kilichotokea hivi karibuni na kugubikwa na utata, imeanika ukweli kuhusiana na tukio hilo. Akizun… Read More
0 comments:
Post a Comment