Facebook

Monday 29 December 2014

Chris Brown Na Karrueche Tran Wamerudia rasmi.

chris-brown-and-karrueche-sunofhollywood-4
Hivi karibuni wapenzi Chris Brown na Karrueche Tran wameteka vichwa vya habari kwa kugombana kwenye mitandao na kurushiana vijembe kuhusu mapungufu ya uhusiano wao na nani anasababisha.
Jipya kuhusu hawa ndege wawili ni kwamba walikutana kwenye mkesha wa Krismass na kuongea machache kuhusu mahusiano yao na baadae kukubali kukutana tena.
Watu wa karubi ni Chris wanasema amekuwa akijaribu kurudiana na kumuomba msamaha mpenzi wake Karrueche bila kufanikiwa kwani Tran alikuwa na hasira kila mara akimfikiria Chris.
Maongezi ya mwisho waliyofanya Chris Brown na Karrueche yalikuwa siku ya alhamisi walipokutana kwenye pati ya Chrismass ya Sean Kingston na inasemekana waliondoka pamoja baada ya pati kuisha. Hizi picha zinawaonyesha pamoja.
453-480w 459-480w 464-480w 468-480w

0 comments:

Post a Comment