Facebook

Sunday, 7 December 2014

CHRIS BROWN AACHANA TENA NA MPENZI WAKE,KARUECHE

Inaonekana kama Chris Brown ameachana tena na Karueche ambapo gazeti la Complex limesema Chris amethibitisha yupo single kwenye concert ya Cali  Christmas.
Amekuwa akiachana na kurudiana na Karueche Tran

Lakini wakati huu tena wameachana kwa tweets na picha zenye maneno yanayoashiria hilo.

Mtumiaji mmoja wa Twitter ,Blogxilla aliripoti kuwa Chris Brown aliwaambia mashabiki ‘how many single ladies out there tonight? I'm single too! F*** that b****!’
Naye Karueche alionekana kujibu suala hilo kwa kutweet ‘N****s be in they feelings when you break up with them lol’. 
By Samchris Swai




Related Posts:

  • Mbasha:Gwajima niachie mke wangu Flora MUME wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha anayedaiwa kumbaka binti wa miaka 17 (jina lipo), Emmanuel Mbasha ameibuka mzimamzima na kumtaka Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo la jijini Dar, Josephat… Read More
  • Picha za Gari jipya la Ney wa Mitego.   Mastaa mbalimbali wa Tanzania wamekua wakionyesha magari yao ambayo mengi yamekua ya kifahari,kwa mwaka 2014 ni mwaka unaonyesha wasanii wengi kumiliki magari ya gharama zaidi,mpaka sasa ni zaidi ya wasanii watano … Read More
  • Riyama Ali:"Nikifa Sitaki Kusifiwa" RIYAMA Ali mwigizaji wa kike asiye na kashifa katika tasnia ya filamu Bongo, amefunguka kwa kusema kuwa kama kuna msanii mwenzake au mtu mwenye mapenzi naye angependa kama ana sifa kuhusu yeye katika umahiri wa kuigiza… Read More
  • Kelly Rowland "Mama Kijacho" ?    Mwimbaji wa Marekani Kelly Rowland ameonekana kuthibitisha taarifa kuwa ni mja mzito. Huu utakuwa uja uzito wa kwanza kwa msanii huyu wa zamani wa kundi la Destiny's child. Kupitia ukurasa wake wa Instagr… Read More
  • Harrison Ford aumia aki"shoot" filamu.   Nyota wa filamu wa Marekani Harrison Ford ameumia wakati akiigiza filamu mpya ya Star Wars: Episode VII. Ford amepelekwa hospitali baada ya kuangukiwa na mlango katika studio za Buckinghamshire, Uingereza. Haifahami… Read More

0 comments:

Post a Comment