"Ni jambo la heri kwa Kenya kuona rais wao yuko huru dhidi ya mashitaka yaliyokuwa yanamkabili.Umoja wa Afrika tulikuwa na kauli moja.Magharibi wasituingilie katika mambo yetu".Membe!
Saturday, 6 December 2014
Kauli ya Mh.Benard Membe baada ya Rais wa Kenya,Uhuru Kenyatta kufutiwa kesi na Mahakama ya ICC.
Related Posts:
Mwigulu Nchemba aamrishwa kuvua Skafu mara moja ndani ya ukumbi wa Bunge Mwigulu Nchemba ni mpenda sifa sana.Anadhani kila mwananchi anaipenda skafu yake na hivyo kumuonyesha kuwa mbunifu na wa kipekee. Awe anaheshimu mahali anapokuwa kama Bungeni, Mahakamani,kanisani na kwingineko… Read More
BREAKING NEWS:Mwanafunzi Chuo kikuu cha DSM afariki akiwa katika Usingizi mzito Kwa habari zilizotufikia hivi punde kutoka Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam ni kwamba mwanafunzi wa Chuo hicho ambaye ni binti mdogo sana anaeitwa HAPPY SEKABENGA,aliyekuwa anasoma degree ya BCOM in ACCOUNTING mwak… Read More
Zitto Kabwe awajibu Chadema aalio Mtuhumu kwa ufisadi Kupitia Leka Dutigite Nasikitika kwamba katika hali niliyonayo ya kumwuguza mama yangu naingizwa kwenye siasa za majitaka. Kampuni ya LekaDutigite inamilikiwa na wasanii. Gombe Advisors ni kampuni isiyofanya faida (Company l… Read More
Wabunge wa upinzani watoka bungeni baada ya CCM kuilinda Wizara ya Nishati na Madini Jioni hii katika bunge la Bajeti Mweshimiwa Mbowe ameongoza kambi ya Upinzani kutoka Bungeni kwa kila anachodai wabunge wa CCM wanajaribu kuficha uovu wa Wizara ya Nishati na Madini na Kujadili mazuri tu kuhusu … Read More
'Sugu' Amlipua Zitto Kabwe Ni katika Hotuba yake ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ya Wizara ya Habari,Utamaduni na Michezo aliyoiwasilisha Bungeni leo hii muda mfupi uliopita. Waziri Kivuli Joseph Osmundi Mbilinyi aka Sugu amemtaja Zitt… Read More
0 comments:
Post a Comment