''Musiwachinje wenzenu nao pia hawafai kuwachinja''...ni haram...kati yenu na rais Bashar al Asaad hakuna atakayeshinda''.
Hatahivyo watu hao wawili walimjibu wakisema hawana muda wa kupoteza naye ila tu anawafurahisha.
Na baadaye bibi huyo anaonekana akiwaita 'punda',na watu hao wanaonekana wakicheka.
Kanda hiyo ya Video iliwekwa katika mtandao wa facebook na Bint Jbeil,raia wa kusini mwa Lebanon mwenye mtandao ulio maarufu kwa watu wa madhehebu ya kishia.
Mtandao ulidai kwamba ni mama mzee aliyekuwa akiwakosoa wapiganaji wa IS.
0 comments:
Post a Comment