Kali hali ambayo si ya kutarajia muuuza mishikaki maarufu Temeke stand ya mabasi Jijini Dar es salaam anaitwa Said mishikaki amekamatwa na nyama ya paka akiwa amikatakata na kuihifadhi katika ndoo kwa ajili ya kuiichoma na kisha kuiuza kama mishikaki.
Tuesday, 17 February 2015
Muuza mishikaki akamatwa na nyama ya paka Temeke.
Kali hali ambayo si ya kutarajia muuuza mishikaki maarufu Temeke stand ya mabasi Jijini Dar es salaam anaitwa Said mishikaki amekamatwa na nyama ya paka akiwa amikatakata na kuihifadhi katika ndoo kwa ajili ya kuiichoma na kisha kuiuza kama mishikaki.
Related Posts:
Hilo ndilo daraja kubwa kutoka Zanzibar hadi Dar Es Salaam.Unaweza ukadhani ni ndoto lakini hii ni habari ya kweli baada ya Hifadhi ya jamii NSSF kutangaza uwezekano wa kujengwa daraja la kihistoria zaidi litakalounganisha Dar es salaam na Zanzibar. Uwepo wa daraja hilo unaweza k… Read More
WANAFUNZI WAADABISHWA KIJESHI KWA KOSA LA KUFANYA FUJO NA KUCHOMA SHULE YAO.Kamishna wa Elimu nchini ameifunga kwa mwezi mmoja shule ya sekondari Njombe (NJOSS) baada ya wanafunzi wa shule hiyo kufanya fujo na kuchoma moto shule yao pamoja na shule ya msingi iliyojirani ya shule yao. Chanzo cha vurug… Read More
Makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad Zanzibar,aipinga Rasimu ya Katiba Songombingo la Rasimu ya katiba bbado linaendelea Zanzibar,baada ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kufukuzwa kazi na Rais wa Zanzibar,Mohamed Shein hivi sasa Makamu wa Kwanza wa Rais Maal… Read More
Warioba adhalilishwa mdahalo wa Katiba Katika mazingira ya kutatanisha, siku ya Jumapili vurugu zimekatisha mdahalo uliokuwa ukiendelea kujadili mchakato wa katiba mpya ya Tanzania huku baadhi ya watu wakipigwa na kujeruhiwa. Mdahalo huo uliokuwa ukita… Read More
MWANAFUNZI WA DARASA LA TANO ATUNDIKWA MIMBA NA MWANAFUNZI MWENZAKE KISA SH.ELFU MBILIMtoto mmoja aliyejulikana kwa jina la Paulina (14) mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Boko, jijini Dar amekatisha masomo kutokana na kupata ujauzito. Mtoto anayejulikana kwa jina la Paulina (14) alitundikwa m… Read More
0 comments:
Post a Comment