Tuesday, 17 February 2015
'‘Johari'’ amefunguka kuwa kamwe hatarajii kuolewa na staa kama Vicent Kigosi ‘'Ray'
STAA mkongwe katika tasnia ya filamu, Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka kuwa kamwe hatarajii kuolewa na staa kama Vicent Kigosi ‘Ray’ bali anahitaji mume wa kawaida asiye maarufu.
Akizungumza na gazeti kubwa nchini, Johari alisema kuwa kwa upande wake hachagui mwanaume gani wa kumuoa bali tu ajue kumthamini na kumuheshimu kama mwanamke.
Kwanza sihitaji mwanaume wa kunioa awe staa hata siku moja, nataka tu awe wa kunijali na kunithamini na kingine awe mchapakazi kwa kuwa mimi mwenyewe ni mtafutaji,” alisema Johari.
Awali, Johari aliwahi kuripotiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na nyota wa filamu, Ray na kuachana baadaye. Kama ni hivyo basi mapenzi yao yalikuwa ni ya ‘boyfriend’ na ‘girlfriend’ na wala si ndoa.
Related Posts:
Jibu la mtoto wa Flora Mbasha hili hapa !! Baada ya utata wa muda mrefu. BAADA ya utata wa uhalali wa baba wa mtoto wa Mwimba Injili maarufu Bongo, Flora Mbasha kutawala kwenye magazeti mbalimbali na mitandao ya kijamii, hatimaye jipu limepasuka baada ya baba mdogo wa Flora, aliyejitambulisha… Read More
'‘Johari'’ amefunguka kuwa kamwe hatarajii kuolewa na staa kama Vicent Kigosi ‘'Ray' STAA mkongwe katika tasnia ya filamu, Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka kuwa kamwe hatarajii kuolewa na staa kama Vicent Kigosi ‘Ray’ bali anahitaji mume wa kawaida asiye maarufu. Akizungumza na gazeti kubwa … Read More
Oscar Pistorius apandishwa hadhi ya juu gerezani. Kuhusiana na mwanariadha Oscar Pistorius aliyeko kifungoni, imeelezwa kwamba sasa anaweza ama kuruhusiwa kukumbatiana na wageni wake na hata kuwabusu wanaomtembelea ,anaruhusiwa kusikiliza redio na hata kuvaa vi… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 18 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa k… Read More
Filamu ya "50 shades of grey" yapigwa marufuku Kenya. Bodi ya Uainishaji wa filamu nchini Kenya imepiga marufuku usambazaji na uuzaji wa filamu Fifty Shades of kwa madai kuwa inaonyesha mwanamke kama mtumwa wa ngono, ina picha za uchi za mwanamke na kuonyesha mambo ya kima… Read More
0 comments:
Post a Comment