Tuesday, 17 February 2015
'‘Johari'’ amefunguka kuwa kamwe hatarajii kuolewa na staa kama Vicent Kigosi ‘'Ray'
STAA mkongwe katika tasnia ya filamu, Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka kuwa kamwe hatarajii kuolewa na staa kama Vicent Kigosi ‘Ray’ bali anahitaji mume wa kawaida asiye maarufu.
Akizungumza na gazeti kubwa nchini, Johari alisema kuwa kwa upande wake hachagui mwanaume gani wa kumuoa bali tu ajue kumthamini na kumuheshimu kama mwanamke.
Kwanza sihitaji mwanaume wa kunioa awe staa hata siku moja, nataka tu awe wa kunijali na kunithamini na kingine awe mchapakazi kwa kuwa mimi mwenyewe ni mtafutaji,” alisema Johari.
Awali, Johari aliwahi kuripotiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na nyota wa filamu, Ray na kuachana baadaye. Kama ni hivyo basi mapenzi yao yalikuwa ni ya ‘boyfriend’ na ‘girlfriend’ na wala si ndoa.
Related Posts:
BantuTz MAGAZETINI:SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA KURASA ZA MBELE MAGAZETI YA LEO 23 Novemba. BantuTz MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusoma na kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma… Read More
Miss afariki dunia zikiwa zimebaki siku 25 kufanyika kwa shindano la Miss World. Zikiwa zimebaki siku 25 kabla ya kufanyika kwa shindano la Miss World mwaka 2014 ,Miss Hondurus Maria Jose Alvaroe pamoja na dada yake Sofia Trinidad Alvaroe mwenye miaka 23 wamekutwa wamekufa baada ya kupotea kwa siku… Read More
Binti akataa kuasiliwa na Kim Kardashian Thailand. Mtoto aliyekuwa akiishi katika mazingira ya umasikini katika Nyumba ya kulea Watoto yatima nchini Thailand amefanya uamuzi wa kushangaza alipokataa ombi la Nyota maarufu duniani Kim Kardashian kumuasili kuwa sehemu ya … Read More
BantuTz MAGAZINE-Soma kilichoandikwa katika Magazeti ya leo Novemba 24 BantuTz MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusoma na kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma ku… Read More
BantuTz MAGAZETINI-Soma kilichoandikwa katika Magazeti ya leo Novemba 22 BantuTz MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusoma na kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata … Read More
0 comments:
Post a Comment