Fifa
imezuia mipango ya Barcelona kumtambulisha rasmi Luis Suarez mbele ya
mashabiki kwenye dimba la Nou Camp. Fifa imesema adhabu aliyopewa
haimruhusu kujihusisha na shughuli zozote za soka.
Mwaka jana Neymar alitambulishwa mbele mashabiki 90,000 kwenye uwanja wa Nou Camp.
0 comments:
Post a Comment