Facebook

Tuesday, 1 July 2014

Luis Suarez amuomba radhi Chiellini




Luis Suarez amuomba radhi Chiellini
Katika taarifa yake kwenye twitter amesema hivi:

Baada ya siku kadhaa za kuwa nyumbani na familia yangu, nimekuwa na muda wa kutulia na kutafakari kuhusu hasa kilichotokea wakati wa mchezo kati ya Italy na Uruguay Juni 24 2014.

Mbali na taarifa na zilizozagaa katika siku chache zilizopita, ambazo nyingi zimekuwa hazina nia ya kutatiza uwezo mzuri wa timu yangu ya taifa, ukweli ni kuwa, mwenzangu Giorgio Chiellini aliumia kutokana na mimi kumng'ata kutokana na kugongana na mimi. Kwa hilo:

*Nasikitika sana kwa kilichotokea.
*Ninamuomba rahi Giorgio Chiellini na familia yote ya wanasoka
*Naahidi watu wote kuwa hakutakuwa na tukio kama hili tena 
 Katika taarifa yake kwenye twitter amesema hivi:
Baada ya siku kadhaa za kuwa nyumbani na familia yangu, nimekuwa na muda wa kutulia na kutafakari kuhusu hasa kilichotokea wakati wa mchezo kati ya Italy na Uruguay Juni 24 2014.
Mbali na taarifa na zilizozagaa katika siku chache zilizopita, ambazo nyingi zimekuwa hazina nia ya kutatiza uwezo mzuri wa timu yangu ya taifa, ukweli ni kuwa, mwenzangu Giorgio Chiellini aliumia kutokana na mimi kumng'ata kutokana na kugongana na mimi. Kwa hilo:
*Nasikitika sana kwa kilichotokea.
*Ninamuomba rahi Giorgio Chiellini na familia yote ya wanasoka
*Naahidi watu wote kuwa hakutakuwa na tukio kama hili tena


Endelea kutembelea www.bantutz.com kupata taarifa mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali kwa muda na wakati muafaka.

Related Posts:

  • Scolari "Tutashinda bila Neymar" Kocha wa Brazil Luiz Filipe Scolari amesema vijana wake wataweza kucheza bila ya mshambuliaji wake aliyeumia, Neymar, watakapocheza na Ujerumani siku ya Jumanne katika nusu fainali ya Kombe la Dunia. Neymar amepa… Read More
  • Afisa wa Match Hospitality akamatwa Maafisa wa polisi nchini Brazil wamemkamata afisa mkuu mtendaji wa kampuni mshirika wa FIFA kwa tuhuma za uuzaji tiketi za kombe la dun… Read More
  • Webb huenda akachezesha fainali Brazil Refa muingereza anayefahamika kwa ukakamavu wake Howard Webb ni miongoni mwa waamuzi 15 walioteuliwa kusalia Brazil kushiriki mechi zilizosalia za kombe la dunia. Webb mwenye umri wa miaka 42 ni miongoni mwa w… Read More
  • 5 BORA YA JEZI ZENYE MDHAMINI GHALI DUNIANI. 1. Manchester United(CHEVLORET)-$80 Million 2. Barcelona(Qatar Airways)-$45 Million 3. Bayern Munich(Deutsche Telekom)-$40 Million 4. Real Madrid((Fly Emirates)-$39 Million 5. Liverpool(Standard Chartered)-$31 Million … Read More
  • Nguli wa Real Madrid afariki dunia.   Mchezaji nguli wa Real Madrid Alfredo Di Stefano, anayetajwa kuwa mmoja wa wachezaji wazuri duniani amefariki dunia. Mchezaji huyo wa zamani wa Real Madrid aliyekuwa na umri wa miaka 88 alipatwa na mshtuko wa moy… Read More

0 comments:

Post a Comment