Facebook

Thursday, 3 July 2014

Manchester United yampandia dau kiungo tegemezi wa Colombia.

 Photo: Manchester United wameweka dau la kumsajili kiungo bora aliyeng"ara katika fainali zinazoendelea za kombe la dunia Juan Cuadrado. 
Star uyo wa Colombia anatajwa kuwa ndie chachu ya ushindi wa timu yake mpaka kufika hatua ya robo fainal huku akishikiliana vyema na chipukizi mwenye kipaji James Rodrigez.

Gazzetta dello Sport la nchini Italy limeandika kuwa wao wamepokea habari kutoka ndani ya uongozi wa Manchester United kwamba kiasi cha Euro mil 40 ambacho ni sawa na Paund mil 32 kimewekwa mezani kwa ajili ya huduma ya star uyo wa Fiorentina.

Juan Cuadrado mwenye umri wa miaka 26 ambaye anaweza kucheza winga zote za kulia na kushoto pamoja na kiungo cha kati ameonesha nia ya kujiunga na United hasa baada ya kuzikacha offer tofauti kwa vilabu vya Uingereza, Bayern Munich na Juventus. 

=/ D.P /=
Manchester United wameweka dau la kumsajili kiungo bora aliyeng"ara katika fainali zinazoendelea za kombe la dunia Juan Cuadrado.
Star uyo wa Colombia anatajwa kuwa ndie chachu ya ushindi wa timu yake mpaka kufika hatua ya robo fainal huku akishikiliana vyema na chipukizi mwenye kipaji James Rodrigez.

Gazzetta dello Sport la nchini Italy limeandika kuwa wao wamepokea habari kutoka ndani ya uongozi wa Manchester United kwamba kiasi cha Euro mil 40 ambacho ni sawa na Paund mil 32 kimewekwa mezani kwa ajili ya huduma ya star uyo wa Fiorentina.

Juan Cuadrado mwenye umri wa miaka 26 ambaye anaweza kucheza winga zote za kulia na kushoto pamoja na kiungo cha kati ameonesha nia ya kujiunga na United hasa baada ya kuzikacha offer tofauti kwa vilabu vya Uingereza, Bayern Munich na Juventus. 

Endelea kutembelea www.bantutz.com uweze kupata tetesi zote za usajili katika kipindi hiki cha majira ya usajili barani Ulaya.

Related Posts:

  • Chelsea yarusha ndoano kwa Gundogan.Timu ya chelsea inatajwa katika mbio za kuhitaji saini ya mchezaji IIkay Gundogan kutoka Dortmund lakini taarifa zinasema mchezaji huyo yupo katika mazungumzo na vilabu vingine vya Barcelona, Manchester United.Bayern na Ars… Read More
  • Man City yamnyatia Isco.Manchester City inataka kupata saini ya kiungo wa Real Madrid Isco. Mchezaji huyo miaka 23 hajui hatima yake Santiago Bernabeu baada ya ujio wa meneja mpya Rafa Benitez.Isco alijiunga na Real Madrid kwa ada ya Euro milioni30 … Read More
  • Tetesi zote za Usajili wa wachezaji barani Ulaya siku ya leo.Dau la Manchester United la pauni milioni 110 kwa Real Madrid kumtaka Gareth Bale, 25 na beki Rafael Varane, 22 limekataliwa na klabu hiyo ya La Liga (Daily Express),   Real Madrid wana uhakika wa kumsajili kwa pauni m… Read More
  • Mbeya City yafungua ukurasa wa usajili.Mshambuliaji wa kutumainiwa wa Ndanda Fc, Gideon Benson amesaini kandarasi ya mwaka mmoja na nusu kujiunga na kikosi ch Mbeya City fc kinachonolewa na Juma Mwambusi katika msimu ujao Benson ameweka kando ofa kadhaa aliz… Read More
  • Yaya Toure 'Siondoki Man City'Mchezaji Yaya Toure amethibitisha kuendelea kukipiga Manchester City msimu ujao, na anafuraha na heshima kwake kuendelea kuwepo Etihad pamoja na kuwepo na uvumi wa kuhamia timu ya Inter Milan ya Italy.Kiungo huyo miaka 32 … Read More

0 comments:

Post a Comment