Facebook

Thursday, 3 July 2014

Manchester United yampandia dau kiungo tegemezi wa Colombia.

 Photo: Manchester United wameweka dau la kumsajili kiungo bora aliyeng"ara katika fainali zinazoendelea za kombe la dunia Juan Cuadrado. 
Star uyo wa Colombia anatajwa kuwa ndie chachu ya ushindi wa timu yake mpaka kufika hatua ya robo fainal huku akishikiliana vyema na chipukizi mwenye kipaji James Rodrigez.

Gazzetta dello Sport la nchini Italy limeandika kuwa wao wamepokea habari kutoka ndani ya uongozi wa Manchester United kwamba kiasi cha Euro mil 40 ambacho ni sawa na Paund mil 32 kimewekwa mezani kwa ajili ya huduma ya star uyo wa Fiorentina.

Juan Cuadrado mwenye umri wa miaka 26 ambaye anaweza kucheza winga zote za kulia na kushoto pamoja na kiungo cha kati ameonesha nia ya kujiunga na United hasa baada ya kuzikacha offer tofauti kwa vilabu vya Uingereza, Bayern Munich na Juventus. 

=/ D.P /=
Manchester United wameweka dau la kumsajili kiungo bora aliyeng"ara katika fainali zinazoendelea za kombe la dunia Juan Cuadrado.
Star uyo wa Colombia anatajwa kuwa ndie chachu ya ushindi wa timu yake mpaka kufika hatua ya robo fainal huku akishikiliana vyema na chipukizi mwenye kipaji James Rodrigez.

Gazzetta dello Sport la nchini Italy limeandika kuwa wao wamepokea habari kutoka ndani ya uongozi wa Manchester United kwamba kiasi cha Euro mil 40 ambacho ni sawa na Paund mil 32 kimewekwa mezani kwa ajili ya huduma ya star uyo wa Fiorentina.

Juan Cuadrado mwenye umri wa miaka 26 ambaye anaweza kucheza winga zote za kulia na kushoto pamoja na kiungo cha kati ameonesha nia ya kujiunga na United hasa baada ya kuzikacha offer tofauti kwa vilabu vya Uingereza, Bayern Munich na Juventus. 

Endelea kutembelea www.bantutz.com uweze kupata tetesi zote za usajili katika kipindi hiki cha majira ya usajili barani Ulaya.

Related Posts:

  • Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya.           Kiungo wa Juventus Arturo Vidal ameipa pigo Manchester United kwa kudai hatokwenda Old Trafford (Daily Mail),    Liverpool watatumia madai hayo kumfuatilia kwa makini Vi… Read More
  • Vidal "Siendi Manchester United"   Arturo Vidal amesisitiza kuwa haendi Manchester United msimu huu. Mchezaji huyo kutoka Chile amekuwa akihusishwa na kuhamia Old Trafford kutoka Juventus, Man United wakiwa tayari kuvunja rekodi yao ya uhamisho.… Read More
  • Drogba arudi Chelsea.      Mshambuliaji wa Ivory Coast Didier Drogba amesaini mkataba wa mwaka mmoja kujiunga tena na Chelsea. Drogba, 36, alishinda makombe 10 akiwa na Chelsea kuanzia mwaka 2004 hadi 2012, na alikuwa mchezaji… Read More
  • Lampard ajiunga rasmi na New York City FC.   Frank Lampard amekamilisha uhamisho kujiunga na klabu ya ligi ya Marekani - MLS ya New York City FC baada ya kutambulishwa hii leo. Frank sasa ana miaka 36 na ameiwakilisha Chelsea kwa misimu 13 na kufunga bao 211 … Read More
  • Nigeria kuzungumza na Stephen Keshi NFF inajadiliana na Keshi kuhusu kandarasi mpya Shirikisho la kandanda la Nigeria NFF limesema kuwa linaanda mikakati ya kufanya mazun… Read More

0 comments:

Post a Comment