Facebook

Thursday, 3 July 2014

Emirates Cup 2014 kuanza hivi karibuni.

Photo: Emirates Cup 2014 
Kwa kila matayarisho ya msimu mpya, Arsenal huandaa mashindano yanayojulikana kwa jina la Emirates Cup ambalo hujumuisha klabu kubwa Ulaya.
Mwaka huu kutakua na Bingwa wa ligi ya Portugal Benfica, Klabu kutoka Spain La Liga Valencia na ile ya Ufaransa AS Monaco. 

- Jumamosi, August 2 
Valencia v AS Monaco
Arsenal v Benfica 

- Jumapili, August 3  
Benfica v Valencia 
Arsenal v AS Monaco  

Picha: Jezi zetu mpya za PUMA, kama ni mwana Arsenal usikose kushea hii wadau wajue ratiba kabla ya ligi. 

Kwa kila matayarisho ya msimu mpya, Arsenal huandaa mashindano yanayojulikana kwa jina la Emirates Cup ambalo hujumuisha klabu kubwa Ulaya.
Mwaka huu kutakua na Bingwa wa ligi ya Portugal Benfica, Klabu kutoka Spain La Liga Valencia na ile ya Ufaransa AS Monaco.

- Jumamosi, August 2
Valencia v AS Monaco
Arsenal v Benfica

- Jumapili, August 3
Benfica v Valencia
Arsenal v AS Monaco

Picha: Jezi  mpya za PUMA, kama ni mdau wa soka usisahau ku-share hii wadau wajue ratiba kabla ya ligi.
 
Endelea kutembelea www.bantutz.com uendelee kupata habari mbalimbali ambazo si rahisi kuzipata sehemu nyingine kwa muda na wakati muafaka

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment