Polisi
nchini Ujerumani wamemuomba radhi mtu mwenye mkono mmoja aliyepigwa
faini kwa kuendesha baiskeli yenye breki moja badala ya mbili kama
inavyotakiwa kisheria. Miezi mitatu baada ya Bodgan Ionescu kupigwa
faini ya Euro 25, polisi wa mjini Cologne wamerejesha fedha hizo
wakisema walivuka mipaka. Bwana Ionescu ameyaambia magazeti kuwa amehisi
kubaguliwa kutokana na ulemavu wake lakini ameshukuru suala hili sasa
limekwisha.
Wednesday, 2 July 2014
Polisi nchini Ujerumani wamemuomba radhi mtu mwenye mkono mmoja.
Related Posts:
Utalii wa Ngono wanawiri Malindi Kenya Utalii wa Ngono wanawiri Malindi Kenya Unapouzuru mji wa Malindi uliopo kwenye mwambao wa Kenya unaonekana kama paradiso. Hata hivyo mji huu ni kitovu … Read More
Mwanamke kunyongwa kwa kuasi dini Sudan Serikali imesema kuwa Sudan sio nchi ya kwanza kutekeleza sheria za kiisilamu Mahakama nchini Sudan imemhukumu kifo mwanamke mmoja anayedaiwa kubadili… Read More
Facebook yawapa 'uhuru' wanawake Iran Wanawake nchini Iran wameanza kuweka picha zao katika akaunti maalum ya Facebook wakiwa bila hijab au wakiwa hawajajifunika vichw… Read More
10 wauawa katika milipuko Nairobi Haijulikani na nani aliyesababisha milipuko ingawa washukiwa tayari wamekamatwa Milipuko miwili ilitikisa Soko kubwa la nguo la Gikomba m… Read More
Nigeria yapuuza matakwa ya Boko Haram Nigeria yapuuza Boko Haram Rais wa Nigeria ametupilia mbali matakwa ya la kundi la kiislam la Boko Haram kwamba serikali iwaachilie huru wafungwa wa kun… Read More
0 comments:
Post a Comment