Facebook

Tuesday, 8 July 2014

Ashley Cole ajiunga rasmi AS Roma.

Photo: ASHLEY COLE ASAINI ROMA
Beki wa zamani wa Chelsea Ashley Cole amejiunga na klabu ya Roma ya Italia kwa mkataba ya miaka miwili.
Roma ime 'tweet' picha ya Cole na kuthibitisha kupitia tovuti yao kuwa mchezaji huyo amesaini mkataba hadi mwaka 2016.
Ashley Cole ameichezea Chelsea kwa miaka minane, akishinda ligi kuu mwaka 2010 na Klabu Bingwa Ulaya mwaka 2012.
Pia alishinda vikombe vinne vya FA na Chelsea, kuongeza vitatu alivyoshinda akiwa na Arsenal ambayo alishinda nayo makombe mawili ya ligi pia.
Beki wa zamani wa Chelsea Ashley Cole amejiunga na klabu ya Roma ya Italia kwa mkataba ya miaka miwili.
Roma ime 'tweet' picha ya Cole na kuthibitisha kupitia tovuti yao kuwa mchezaji huyo amesaini mkataba hadi mwaka 2016.
Ashley Cole ameichezea Chelsea kwa miaka minane, akishinda ligi kuu mwaka 2010 na Klabu Bingwa Ulaya mwaka 2012.
Pia alishinda vikombe vinne vya FA na Chelsea, kuongeza vitatu alivyoshinda akiwa na Arsenal ambayo alishinda nayo makombe mawili ya ligi pia.

Related Posts:

  • Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya. Arsenal wameanza tena kumfuatilia kiungo wa Bayer Leverkusen Lars Bender, huku Arsene Wenger akiwa anakaribia kukamilisha usajili wa Alexis Sanchez na beki Mathew Debuchy (Daily Telegraph),    Arsenal wamek… Read More
  • Sanchez akaribia kutua Arsenal   Arsenal wamefikia makubaliano ya £34million na Barcelona kwa ajili ya mchezaji wa kimataifa wa Chile - Alexis Sanchez kwa sharti kwamba watapewa mchezaji huyo kama klabu nyingine haitafikia dau walilotoa Arse… Read More
  • Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya. Liverpool watafanya jitihada za mwisho kujaribu kumshawishi Ashley Cole kujiunga nao (Mail on Sunday),   Taarifa nyingine zinasema Cole tayari ameingia mkataba wa miaka mitatu na Roma ya Italy (Sunday People),… Read More
  • Mathieu Debuchy mbioni kujiunga Arsenal.   Mathieu Debuchy atatangazwa rasmi muda wowote kuanzia sasa kama mchezaji wa Arsenal kutokea Newcastle United. Beki huyo amekua na msimu mzuri msimu uliopita kitakwimu akimzidi beki wa nafasi hiyo aliyehamia Man… Read More
  • Wilferd Zaha atimkia Newcastle. Kocha wa Man united Lous Van Gaal amekubali kumuuza winga kinda Wilfried Zaha kwa kiasi cha milioni £7.  katika dirisha la usajili la majira ya joto baada ya miezi 18 aliyo kaa kinda huyu katika timu ya Ma… Read More

0 comments:

Post a Comment