Facebook

Tuesday, 8 July 2014

Sanchez akaribia kutua Arsenal


 Photo: Arsenal wamefikia makubaliano ya £34million na Barcelona kwa ajili ya mchezaji wa kimataifa wa Chile - Alexis Sanchez kwa sharti kwamba watapewa mchezaji huyo kama klabu nyingine haitafikia dau walilotoa Arsenal na mpaka sasa Juventus pekee ndio wameonesha nia ya kutaka kufikia ofa hiyo.

Sanchez ameonesha hataki kujiunga na Liverpool ingawa klabu hiyo wakisaidiwa na Barcelona imejitahidi kumshawishi na meneja Brendan Rodgers akitaka nafasi ya kuongea nae.

Juventus ili wmnunue Sanchez wanahitaji kumuuza Pogba kwanza. Na dili kati ya Barca na Liverpool kuhusu Suarez litahusisha pesa tu bila Sanchez iwapo ataendelea kugoma kujiunga Anfield.

Kama ni shabiki was Arsenal na ungependa ajiunge nasi gonga like na kama una maoni comment
Arsenal wamefikia makubaliano ya £34million na Barcelona kwa ajili ya mchezaji wa kimataifa wa Chile - Alexis Sanchez kwa sharti kwamba watapewa mchezaji huyo kama klabu nyingine haitafikia dau walilotoa Arsenal na mpaka sasa Juventus pekee ndio wameonesha nia ya kutaka kufikia ofa hiyo.

Sanchez ameonesha hataki kujiunga na Liverpool ingawa klabu hiyo wakisaidiwa na Barcelona imejitahidi kumshawishi na meneja Brendan Rodgers akitaka nafasi ya kuongea nae.

Juventus ili wamnunue Sanchez wanahitaji kumuuza Pogba kwanza. Na dili kati ya Barca na Liverpool kuhusu Suarez litahusisha pesa tu bila Sanchez iwapo ataendelea kugoma kujiunga Anfield.

Imendaliwa na......
                              James Nicholaus

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment