Facebook

Tuesday, 15 July 2014

SCOLARI "AJIUZULU"

 Photo: SCOLARI "AJIUZULU"
Vyombo vya habari za Brazil vinaripoti kuwa Luiz Filipe Scolari amejiuzulu nafasi yake na umeneja wa timu ya taifa. Tangazo rasmi linatarajiwa kutolewa baadaye Jumatatu (leo). Scolari ambaye analaumiwa kwa kichapo cha mabao 7-1 na Ujerumani alisema awali kuwa nafasi yake hiyo itafikiriwa upya na chama cha soka cha Brazil baada ya Kombe la Dunia.
 Vyombo vya habari za Brazil vinaripoti kuwa Luiz Filipe Scolari amejiuzulu nafasi yake na umeneja wa timu ya taifa. 
 
Tangazo rasmi linatarajiwa kutolewa baadaye Jumatatu (leo). 
Scolari ambaye analaumiwa kwa kichapo cha mabao 7-1 na Ujerumani alisema awali kuwa nafasi yake hiyo itafikiriwa upya na chama cha soka cha Brazil baada ya Kombe la Dunia.

0 comments:

Post a Comment