RONALDO MCHEZAJI BORA WA UEFA
Mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano
Ronaldo ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa
Uefa, na kuwapiku kipa wa Bayern Munich,
Manuel Neuer na Arjen Robben.
Ronaldo, 29, kutoka Ureno alipachika mabao
17 na kuisaidia Real Madrid k…Read More
Giroud kukaa nje hadi Disemba kutokana na majeruhi.
Mshambuliaji wa Arsenal Olivier Giroud
hatocheza hadi mwisho wa Disemba baada ya
kufanyiwa upasuaji kutokana na jeraha la mguu.
Klabu hiyo ilipata matokeo ya vipimo vya pili
siku ya Alhamis, ambavyo vimethibitisha kuwa
mchez…Read More
Gerrard akabidhiwa jukumu la "kumfunda" Balloteli.Gerrard amepewa jukumu la kumuongoza
kimaadili Mario Balotelli kiwanjani na suala
la ndani ya klabu litakua juu ya Brendan
Rodgers huku Balotelli mwenyewe akiambiwa
ajiangalie nje ya klabu kimatendo na
kimaadili, kutokufanya …Read More
Tambwe afungua akaunti ya magoli.Mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu
uliopita, Khamisi Tambwe ameanza kuonyesha
makali baada ya kupiga bao mbili katika
mechi ya jana usiku Simba ilipoiadhibu
KMKM ya Zanzibar kwa mabao 5-0.
Tambwe raia wa Burundi alipiga bao…Read More
0 comments:
Post a Comment