Facebook

Friday, 4 July 2014

Arsenal yasajili kinda hatari.

 Photo: Arsenal wameongeza idadi ya makinda bora wa ki-Ingereza baada ya kumsajili Ben Sheaf kutoka klabu ya West Ham.

Ben Sheaf ana miaka 16, ambaye anapigiwa chapuo kua nyota baadae, amejiunga na Arsenal baada ya kugomea mkataba mpya klabuni West Ham na kuilazimu klabu hiyo kumuuza.

West Ham hawajapendezwa kumuuza, kwani wanamchukulia Sheaf kama mmoja kati ya viungo bora kabisa Uingereza.

Kwa sasa yupo timu ya vijana ya England chini ya miaka 16.
Arsenal wameongeza idadi ya makinda bora wa ki-Ingereza baada ya kumsajili Ben Sheaf kutoka klabu ya West Ham.

Ben Sheaf ana miaka 16, ambaye anapigiwa chapuo kua nyota baadae, amejiunga na Arsenal baada ya kugomea mkataba mpya klabuni West Ham na kuilazimu klabu hiyo kumuuza.

West Ham hawajapendezwa kumuuza, kwani wanamchukulia Sheaf kama mmoja kati ya viungo bora kabisa Uingereza.

Kwa sasa yupo timu ya vijana ya England chini ya miaka 16.

Related Posts:

  • Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya. Kiungo wa Juventus Arturo Vidal, 27, amewapa matumaini zaidi Manchester United baada ya kukiri kuwa "angependa kuichezea moja ya klabu kubwa duniani" ingawa amesema hatolazimisha uhamisho wake (Independent) United pia … Read More
  • SCOLARI "AJIUZULU"    Vyombo vya habari za Brazil vinaripoti kuwa Luiz Filipe Scolari amejiuzulu nafasi yake na umeneja wa timu ya taifa.    Tangazo rasmi linatarajiwa kutolewa baadaye Jumatatu (leo).  Scolari … Read More
  • LIVERPOOL YAKAMILISHA USAJILI WA MARKOVIC   Liverpool wamekamilisha usajili wa winga kutoka Serbia Lazar Markovic kwa pauni milioni 20 kutoka Benfica. Markovic, 20, anakuwa usajili wa nne kwa Liverpool kipindi hiki. Markovic aliisaidia Benfica kushinda ligi … Read More
  • DIEGO COSTA ATUA RASMI 'DARAJANI'    Aliyekuwa mshabuliaji wa Atletico Madrid Diego Costa, 25, amekamilisha usajili wake kwenda Chelsea na kusaini mkataba wa miaka mitano. Ada ya uhamisho inadhaniwa kuwa takriban pauni milioni 32. "Nimefurahi… Read More
  • Ospina akaribia kutua Arsenal.   Ripoti nchini Ufaransa zinasema klabu ya Nice na Arsenal wameingia makubaliano ya mauzo ya Ospina kutoka klabu hiyo ya Ufaransa kujiunga na Arsenal. "Starsport revealed that representatives from Arsenal had bee… Read More

0 comments:

Post a Comment