Facebook

Friday, 4 July 2014

Victor Valdes ashindwa kufuzu vipimo vya afya kujiunga na AS Monaco.

 VALDES 'AFELI MEDICAL' MONACO
Kipa wa zamani wa Barcelona Victor Valdes ameshindwa vipimo vya afya na hivyo hatoweza kujiunga na Monaco inayocheza ligi ya Ufaransa- Ligue 1.
Makamu wa rais wa Monaco Vadim Vasyliev amesema: "Ameumia na hatoweza kuja hapa."
Valdes alipata jeraha kubwa la goti baada ya kutangaza kuwa msimu wa 2013/14 ni wa mwisho kuichezea Barca, baada ya miaka 12.
Kipa wa zamani wa Barcelona Victor Valdes ameshindwa vipimo vya afya na hivyo hatoweza kujiunga na Monaco inayocheza ligi ya Ufaransa- Ligue 1.
Makamu wa rais wa Monaco Vadim Vasyliev amesema: "Ameumia na hatoweza kuja hapa."
Valdes alipata jeraha kubwa la goti baada ya kutangaza kuwa msimu wa 2013/14 ni wa mwisho kuichezea Barca, baada ya miaka 12.


Endelea lutembelea www.bantutz.com kupata tetesi mbalimbali za usajili kwa muda na wakati muafaka.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment